mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Nimekumbwa na tatizo la kumulikwa na watu wa maegesho. Nilienda kulipia nikashangaa deni linaongezeka kucheck majumuisho nikakuta kuna sehemu ambazo nilipita lakini sikusimama wala kiegesha lakini nakuta nadaiwa fedha za maegesho.
Kuna sehemu nyingine natajiwa hata sipajui lakini nadaiwa. Huu wizi umebarikiwa na serikali kupitia vijana wenye roho mbaya ya kukomoa wenye magari.
Serikali haikuweka sehemu ya kulalamika ili tuonyeshwe kwa uwazi sehemu husika tulizopita au tuliegesha. Kila mtu huwa ana kumbukumbu ya matumizi yake ya gari, iweje TARURA watulazimishe kulipia tusichotumia?
Nimekumbwa na tatizo la kumulikwa na watu wa maegesho. Nilienda kulipia nikashangaa deni linaongezeka kucheck majumuisho nikakuta kuna sehemu ambazo nilipita lakini sikusimama wala kiegesha lakini nakuta nadaiwa fedha za maegesho.
Kuna sehemu nyingine natajiwa hata sipajui lakini nadaiwa. Huu wizi umebarikiwa na serikali kupitia vijana wenye roho mbaya ya kukomoa wenye magari.
Serikali haikuweka sehemu ya kulalamika ili tuonyeshwe kwa uwazi sehemu husika tulizopita au tuliegesha. Kila mtu huwa ana kumbukumbu ya matumizi yake ya gari, iweje TARURA watulazimishe kulipia tusichotumia?