fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,412
- 7,966
Ipi bro miradi iliyosimama?,tusiongee bioa kuitajaAmejitahidi sana.
Na kwa sasa miradi mingi ya barabara imesimama.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ipi bro miradi iliyosimama?,tusiongee bioa kuitajaAmejitahidi sana.
Na kwa sasa miradi mingi ya barabara imesimama.
Kazi hizo zingeweza kufanywa na yoyote yule maana hela ya wananchi ilikuwepo tu.Nimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.
Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.
Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.
Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
Inaumiza sanaaaaNimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.
Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.
Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.
Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
Hawafai wote wale, walikuwa wanazua miradi mingi mingi haraka haraka ile wapige mkwanja mrefu haraka haraka; sasa Mungu fundi akwaua wote kwa haraka haraka pia!
Nakubaliana na wewe ila usimlinganishe na Mkapa ndie alijenga foundation ya Taifa hili kiuchumi. Amini usiamini Legacy ya Mkapa ni kubwa sana baada ya Nyerere.Ngoja team legacy waje 😂😂😂
Naelewa, kwa mkapa ni in general. Kikwete km nyingi ni utawala wake, sasa tukaanza potoshwa cjui barabara ni awamu ya gwara tena 😂Nakubaliana na wewe ila usimlinganishe na Mkapa ndie alijenga foundation ya Taifa hili kiuchumi. Amini usiamini Legacy ya Mkapa ni kubwa sana baada ya Nyerere.
Cc, kinuju njoo huku 😂😂😂😂Mungu ni fundi sana.
Anajua kuwafuta machozi wanaoonewa.
Hakuna tena:-
Wakuu wa wilaya na mikoa miungu watu.
Hakuna kutekwa na kupotezana
Hakuna kutumbuana kwa ajili ya misifa
Hakuna maiti kwenye viroba ufukweni.
Hakuna kufilisi wafanyabiashara kwa kutumia Task Force.
Hakuna kunyang'anya fedha za Bureau de Change.
Hakuna na kutishana.
Hakuna na kwenda kwenye ibada kwa mbwembwe na kudai mic.
Hakuna kutisha majaji na mahakimu.
Kwa kifupi kumetulia!!
Asante Mungu.
Wewe hujaribiwi!!