SHOO ZA VIJIJINI... Show nyingi zinazofanywa vijijini huwa waaandaaji wanatafuta watu ambao wanaigiza kuimba nyimbo mbalimbali za wasanii wetu,Masanja wa Ze Origino komedy,Bambo,Rose Mhando etc hilo si la ajabu... tena wengi wanawapatia au kuwazidi wasanii wenyewe... Hapa Dar tembelea Kwa Macheni,Meeda,San Cirro,Lango la Jiji,Kimboka by Night,Rozanas,Kisuma,Millenium Mbagala,Zakhem Mbagala kuna show hizo bila kusahau taarifa za habari za kurekodiwa Uwanja wa Fisi...