Utata wa Voda na Jay milioni

Utata wa Voda na Jay milioni

Na ndio maana ya VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA..huo ndio mtego wao..
 
jamani basi mwenzenu nikawa nanunua muda wa maongez kutoka mpesa..kila nikinunua inakatwa yote.nikawa sielewi basi kuna mshkaj akanikumhusha kuna jaymillnyoko sijui..aisee nilikasirikaa..wakati cjawah hata kujiunga..popote ulipo wewe unaehusika na vodanyoko...SHE*N-ZI TYPE. nyau wewe na mnirudishie hela yangu. mnajua naitafutaje??

Huhuhu! Weka number yako hapa wakurudishie...
 
Kitu kingine kinachotuumiza wengi kwa hawa mapimbilisi ya voda ni hiki,unakuta mtu umenunua kifurushi cha cku cha internet alafu baada ya mda labda unanunua cha wiki au mwezi cha mda wa maongezi sa cha kushangaza MB zitakaoanza kutumika ni za kwenye kifurushi cha maongezi badala ya zile za internet tu bila mda wa maongezi?yaan huu ni wizi wa waz kabsaaa ili mtu kila cku uwe unajiunga vifurushi vya internet kw vle ni 24hrs af kile cha maongez cha wik au mwez kw vle kina mda mrefu kutumika na kina Mb chache ndo kinaanza kuliwa fasta ili kukuharibia hesabu zako
 
Hata Hao Airteller Na Toyota Ist Zao Ni Wizi Uleule Maana Tokanimeanza Kuwasikia Washindi Wahizo Gari Redioni Niwalewale.. Yule Kondakta Wamagari Ya Congo,burundi,mama Muuza Nyanya Nabinti Anaesemewa Namamake Atoe Sadaka,wizi +wizi=ufisadi.
 
Hata Hao Airteller Na Toyota Ist Zao Ni Wizi Uleule Maana Tokanimeanza Kuwasikia Washindi Wahizo Gari Redioni Niwalewale.. Yule Kondakta Wamagari Ya Congo,burundi,mama Muuza Nyanya Nabinti Anaesemewa Namamake Atoe Sadaka,wizi +wizi=ufisadi.

bora Airtel hawanashida na hela yako. just kununua vocha yako na kutumia. jaymilnyoko kanikata sana hela wakat cjajiunga na utumbo wao mimi
 
Back
Top Bottom