mwaminifuhalisi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 329
- 412
Picha nyingi ambazo zimepigwa angani na satellite, nyota huwa hazionekani, lakini kwa mujibu wa wataalamu wa maswala ya anga hudai kwamba hapa duniani tunaweza kuona nyota chache sana kutokana na pollution, na zinaweza kuonekana vizuri sana maeneo kama vijijini ambapo pollution ni ndogo, lakini bado nyota zinazoonekana duniani ni chache.
Kitu ambacho kiliwasukuma wanasayansi wa NASA kuachana kutumia ground Telescope na kutumia telescope zinazonguka angani kama satellite mfano ni kepler telescope na Hubble Space Telescope ili kupata taarifa kwa undani kuhusu maswala ya anga, kwa maana kwenye anga hakuna atmosphere na hivyo nyota huonekana kwa urahisi sana.
picha ya dunia inavyoonekana mwezini huku nyota zikiwa hazionekani.
sasa swali linalosumbua kichwa ni kwa nini picha nyingi ambazo zimepigwa angani na wanaanga ama telescope nyota huwa hazionekani?.
Kitu ambacho kiliwasukuma wanasayansi wa NASA kuachana kutumia ground Telescope na kutumia telescope zinazonguka angani kama satellite mfano ni kepler telescope na Hubble Space Telescope ili kupata taarifa kwa undani kuhusu maswala ya anga, kwa maana kwenye anga hakuna atmosphere na hivyo nyota huonekana kwa urahisi sana.
picha ya dunia inavyoonekana mwezini huku nyota zikiwa hazionekani.