Xav Emmanuel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 214
- 315
Tumia Kiswahili kuonesha utata wa Lugha.
- Ni kwa vipi Lugha imekuwa gumzo kutokana na baadhi ya maneno kuingiliana, kufanana au kukosekana.
- Au ni vipi watumiaji wa lugha walivyo kuwa na uelewa tofauti juu ya maana nyingi na zisizo kusudiwa za lugha, karibu.
Mfano: Maneno kama "Nimegongwa" usipotoa ufafanuzi unaweza kuangukia kwenye ngono zembe.
Karibuni.
Starxav
- Ni kwa vipi Lugha imekuwa gumzo kutokana na baadhi ya maneno kuingiliana, kufanana au kukosekana.
- Au ni vipi watumiaji wa lugha walivyo kuwa na uelewa tofauti juu ya maana nyingi na zisizo kusudiwa za lugha, karibu.
Mfano: Maneno kama "Nimegongwa" usipotoa ufafanuzi unaweza kuangukia kwenye ngono zembe.
Karibuni.
Starxav