Fabian alikuwa muuguzi katika hospitali ya WILAYA ya bagamoyo, anasifika kwa uchapakazi na ukarimu wake kwa wagonjwa.
Jumapili ya juma hili alipatikana nyumbani akiwa amefariki katika nyumba alimokuwa amepanga na ukapatikana ujumbe unaowataja watu wawili, mmoja wa kike na mwingine wa kiume.
Inasemekana alikuwa na ugomvi na girlfriend wake ambaye anasemekana Ni Malaya wa kutupwa na huyu Ni mwanaume wa pili kufariki kiutatauta akiwa na mahusiano na huyo dada. Huyo dada pia ana sifa ya uvutaji bangi na wizi hapo Bagamoyo.
UTATA juu ya kifo hicho unaanza pale kifo chake kiliposemwa amejinyonga. Je daktari aliitwa kwenye eneo la tukio? Crime scene.? Picha iliyosambaa unaleta maswali kwasababu urefu wa kamba ilipofungwa na urefu wake asingeweza kuning'inia. Pili haionekani alipanda wapi au alitumia kitu gani kujitegua ili akabwe.
Wito: Waliotajwa kwenye ujumbe washikiliwe mpaka pale vyombo Vitakapojiridhisha Ni suicide na sio homicide au foul yoyote.
Mwenyezi Mungu amrehemu muuguzi.
Jumapili ya juma hili alipatikana nyumbani akiwa amefariki katika nyumba alimokuwa amepanga na ukapatikana ujumbe unaowataja watu wawili, mmoja wa kike na mwingine wa kiume.
Inasemekana alikuwa na ugomvi na girlfriend wake ambaye anasemekana Ni Malaya wa kutupwa na huyu Ni mwanaume wa pili kufariki kiutatauta akiwa na mahusiano na huyo dada. Huyo dada pia ana sifa ya uvutaji bangi na wizi hapo Bagamoyo.
UTATA juu ya kifo hicho unaanza pale kifo chake kiliposemwa amejinyonga. Je daktari aliitwa kwenye eneo la tukio? Crime scene.? Picha iliyosambaa unaleta maswali kwasababu urefu wa kamba ilipofungwa na urefu wake asingeweza kuning'inia. Pili haionekani alipanda wapi au alitumia kitu gani kujitegua ili akabwe.
Wito: Waliotajwa kwenye ujumbe washikiliwe mpaka pale vyombo Vitakapojiridhisha Ni suicide na sio homicide au foul yoyote.
Mwenyezi Mungu amrehemu muuguzi.