Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Kuhusu vipimo vya ugonjwa wa Covid 19, niwathibitishie wabunge kwamba maabara yetu ya Taifa sasa hivi inafanya kazi saa 24 na tuna uwezo wa kupima sampuli mpaka 500 kwa siku, tumefanya tathmini ya maabara tisa ndani ya nchi yetu ambazo zina uwezo wa kufanya upimaji huu, upimaji huu huwezi kuuweka katika zahanati au kituo cha afya"-Dk. Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya Tanzania.
Hoja:
Hata kama tunapima watu 100 kwa siku then tuseme 60% ni positive hawa si ni watu 60? Kwa siku?