Utata: Uvamizi wa clouds FM

Wewe ndiye shida zaidi kuliko hao wa TZ, yaani ili uamini Bashite alivamia Clouds TV unataka video ya tukio hilo iwekwe mtandaoni?
 


Hawa ndo wale wale vilaza waliombiwa elimu elimu elimu, EL alijua tu huku CDM ni mavilaza tu. chochote yatakachoambiwa yatafuata hayajui kuhoji wala kuuliza

pathetic
 
Wewe ndiye shida zaidi kuliko hao wa TZ, yaani ili uamini Bashite alivamia Clouds TV unataka video ya tukio hilo iwekwe mtandaoni?

why not, video ipo na ndio ushahidi usio na shaka

au unaniambia mnamuamini sana ruge kuliko hiyo video
 
Hawa ndo wale wale vilaza waliombiwa elimu elimu elimu, EL alijua tu huku CDM ni mavilaza tu. chochote yatakachoambiwa yatafuata hayajui kuhoji wala kuuliza

pathetic
Angalau wewe mwenyewe ungekuja na "hojaji" za kimantiki kuliko huo upupu ulioibuka nao hapa. Kaa kimya utaendelea kujiabisha tu!
 
Ni kwa jinsi gani Watanzania tu maatahira. Mleta mada ni mfano tosha.
 
Idiot
 
Hakuna utata naona wewe ni kilaza wa kuelewa au unataka kupotosha tu!
 
Sijajua hasa unachotaka kufafanua kwani hueleweki
 
umelala wapi jana usiku juu ya kaburi au? mbona hueleweki unamatatizo ya fikra.
 
Ikiwezekana, apandishwe kizimbani

why tunamtuhum wakati ushahidi upo, uwekwe wazi
nachoamini kama hili lisingekua kweli mtoto wa mfalme angeshawaburuza mahakamani kua wanamchafua....lakin kwa sabab n kwel na anajua ataaibika ndo mana kanyamaza kimyaaaaaaaaaa........
 
Bado huja eleweka vzr ww kama nani haswa kwa RC Mpaka unahitaji ushahidi wa kina?
CCTV Tumeiona na hapakuwa na shaka kuwa huyu alikuawa si RC.
Na haimaanishi KWAMBA ukiwa na kosa fulani huwezi tenda kosa jingine
 
nachoamini kama hili lisingekua kweli mtoto wa mfalme angeshawaburuza mahakamani kua wanamchafua....lakin kwa sabab n kwel na anajua ataaibika ndo mana kanyamaza kimyaaaaaaaaaa........

Ukiwa kiongozi kusemwa ni issue ya kawaida,
usipokubali kusemwa utakuwa unashinda mahakam kila siku kuwaburuza watu mahakam
 
Watoe wote kwani ni mahakamani? Wao wanatoa kwa tume au mahakamani sio kwa kila ntu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…