Hv YESU alihesabiwa miaka akiwa tumboni au pale tu alipozaliwa?nafikili ni pale baada ya kuzaliwa,hii ni toka enzi za kina MUSA. kiumbe kikiwa tumboni kinakua hakijahesabika kama ni mtoto halali kijamii"Imezoeleka" kwamba mtoto anapozaliwa anahesabiwa kuwa na umri sifuri (zero/dash) na mzalishaji ndio huamua ni mda gani mtoto huyu alianza kuhesabiwa milisecond ya kwanza. Ni kama kusema "mzalishaji (au yeyote atayepata fursa ya kuwa wa kwanza kumuona mtoto, ndiye mwamuzi wa umri wa mtoto).
Utata wa kwanza unakuwa pale tunapokuwa na uhakika kwamba mtoto huyu ameshaishi tumboni kwa mama yake kwa miezi 9, lakini hatujumuishi umri huu katika umri wake "mpya"! Hapa tuwaulize wale wasiosupport utoaji mimba (nikiwemo mimi) Je ni sahihi kusema mimba ni kiumbe hai kisicho na umri? Je yawezekana kuna kitu au kiumbe kisicho na umri kinachoexist?
Na je umri huu mpya tunaopewa, ni wanadamu NDIO walitunga kanuni hiyo? (binadamu au sisi ndio mahiri wa kukosea katika hata mambo serious) au ni miungu ndio ilituwekea? (wao mara nyingi "TUNAAMINI" hawakosei.
Kama ni wanadamu wa zamani walitunga, Je hatujawazidi maarifa na ujuzi kwa sasa kiasi cha kutengua walivyovikosea?
Na kama ni miungu ilitunga, Je haina maana YOYOTE katika mimba na kilichomo ndani yake, Na je si wakati sahihi sasa kujenga dhana mpya ya MIMBA na HAKI ZA kilichomo ndani yake lakini ZISIFANANE NA KIUMBE KINACHOZALIWA.
Yaani mimba ihesabiwe kama sehemu ya mwili wa mwanamke na aruhusiwe kuwa na haki kama za nywele au kucha au vidole vyake!
Nauliza tu waungwana!
Ipo hoja, kuna wengine hukaa tumboni miezi kumi au zaidi na kuna wengine huzaliwa kabla ya kufikisha miezi tisa. Sasa biologically, kama mimba A imetungwa June na mimba B imetungwa August, mtoto wa mimba A atakuwa na "umri" mkubwa kuliko wa mimba B kwa miezi 2.
Lakini kiuhalisia kama say mimba A imedumu miezi 10 na mimba B imedumu miezi 7, mtoto B atahesabika kuwa na umri mkubwa kumzidi A kwa mwezi mmoja (yaani A atazaliwa April wakati B atazaliwa (njiti) mwezi March, katika mwaka unaofuata)!
Hv YESU alihesabiwa miaka akiwa tumboni au pale tu alipozaliwa?nafikili ni pale baada ya kuzaliwa,hii ni toka enzi za kina MUSA. kiumbe kikiwa tumboni kinakua hakijahesabika kama ni mtoto halali kijamii
Kumbuka kipindi hicho hata wanawake na watoto walikua hawahesabiwi katika sensa bali wanaume tuu ..... Lakini miaka hii mambo yame badilika wote huhesabiwa sasa kama tume badili jambo hilo kwanini tusibadili na hili la kuhesabu umriHv YESU alihesabiwa miaka akiwa tumboni au pale tu alipozaliwa?nafikili ni pale baada ya kuzaliwa,hii ni toka enzi za kina MUSA. kiumbe kikiwa tumboni kinakua hakijahesabika kama ni mtoto halali kijamii