Utashi wa kisiasa umetowekea wapi?

Mkandara

Platinum Member
Joined
Mar 3, 2006
Posts
16,024
Reaction score
9,516
Yahusu Vita ya Kisiasa dhidi ya Mzee Warioba. Imeniuwia vigumu kuiweka yote hapa hivyo nimeweka Link. Tafadhli fuatilia hapa Facebook
 
Kwenye hii nchi kwa sasa ukionekana tu unaupinga uhalifu, uonevu, wizi wa kura, dhuluma, ufisadi, ubadhirifu, utekaji, mauaji, nk. Basi utambue fika umeingia kwenye vita kali sana dhidi ya wahuni waliojimilikisha nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…