Utaratibu wa QT,msaada.

Tiger

JF-Expert Member
Nov 30, 2007
1,747
386
Habari zenu wakuu.
Plz I need your advice on how should I help this QT candidate.
Mtahiniwa alikuwa amejisajiri kufanya qualification test(QT) kwa mara ya kwanza mwaka huu.
Alifanya usajiri akapata namba na taratibu nyingine husika zilikamilika.
Kwa sababu 1 au nyingine huyo mtu hakufanya mtihani kwakuwa inasemekana mwaka huu watahiniwa wa form II QT (wale wanaofanya kwa mara ya kwanza kama yeye) wali-seat na form IV wa kawaida(regular) badala ya ku-seat na form II wenzao(regular).
Yeye hakujua na akachelewa mtihani.
Swali ni je, huyu mtahiniwa anatakiwa afanye nini ili aweze kufanya mtihani mwakani au hana tena sifa ya kufanya mtihani?
Thank u in advance.
 
Habari zenu wakuu.
Plz I need your advice on how should I help this QT candidate.
Mtahiniwa alikuwa amejisajiri kufanya qualification test(QT) kwa mara ya kwanza mwaka huu.
Alifanya usajiri akapata namba na taratibu nyingine husika zilikamilika.
Kwa sababu 1 au nyingine huyo mtu hakufanya mtihani kwakuwa inasemekana mwaka huu watahiniwa wa form II QT (wale wanaofanya kwa mara ya kwanza kama yeye) wali-seat na form IV wa kawaida(regular) badala ya ku-seat na form II wenzao(regular).
Yeye hakujua na akachelewa mtihani.
Swali ni je, huyu mtahiniwa anatakiwa afanye nini ili aweze kufanya mtihani mwakani au hana tena sifa ya kufanya mtihani?
Thank u in advance.

Sifa anazo,anachotakiwa kufanya ni kujisajili UPYA mwakani JANUARI ili apate nafasi ya kufanya mtihani huo.
 
Back
Top Bottom