Habari zenu wakuu.
Plz I need your advice on how should I help this QT candidate.
Mtahiniwa alikuwa amejisajiri kufanya qualification test(QT) kwa mara ya kwanza mwaka huu.
Alifanya usajiri akapata namba na taratibu nyingine husika zilikamilika.
Kwa sababu 1 au nyingine huyo mtu hakufanya mtihani kwakuwa inasemekana mwaka huu watahiniwa wa form II QT (wale wanaofanya kwa mara ya kwanza kama yeye) wali-seat na form IV wa kawaida(regular) badala ya ku-seat na form II wenzao(regular).
Yeye hakujua na akachelewa mtihani.
Swali ni je, huyu mtahiniwa anatakiwa afanye nini ili aweze kufanya mtihani mwakani au hana tena sifa ya kufanya mtihani?
Thank u in advance.
Plz I need your advice on how should I help this QT candidate.
Mtahiniwa alikuwa amejisajiri kufanya qualification test(QT) kwa mara ya kwanza mwaka huu.
Alifanya usajiri akapata namba na taratibu nyingine husika zilikamilika.
Kwa sababu 1 au nyingine huyo mtu hakufanya mtihani kwakuwa inasemekana mwaka huu watahiniwa wa form II QT (wale wanaofanya kwa mara ya kwanza kama yeye) wali-seat na form IV wa kawaida(regular) badala ya ku-seat na form II wenzao(regular).
Yeye hakujua na akachelewa mtihani.
Swali ni je, huyu mtahiniwa anatakiwa afanye nini ili aweze kufanya mtihani mwakani au hana tena sifa ya kufanya mtihani?
Thank u in advance.