Aende tcu akaongee nao
Atafanya online sawa bt inabidi atafute mtu tcu pia kwa uhakika zaid,hii ni Tanzania co kila mtu mwenye haki anaipataMwambie Asubirie Muda Wa Transfer Ufunguliwe Coz Mwaka Huu Transfer Ztafanyka Online Kupitia Accnt Ya Kla Moja Na Atapaswa Kulipia Elfu30
Jamani kuna Mtu anataka kufanya Transfer kutoka Chuo Alichochaguliwa Kwenda Muhimbili.. Utaratibu upoje WanaJF