mbogoshi ya boganga
Member
- Jan 24, 2012
- 32
- 21
wapendwa
leo nimeshangazwa sana na wale wanaokatisha tiketi baada ya kuniambia inabidi nije na chenji ya sh 200. Nikamuuliza mhudu huyo swali Je ni nani anapaswa kuwa na chenji kati yangu mi na wewe? alichonijibu, pisha nihudumie wengine? Nikaamua kumfuata kiongozi wao,naye alinjibu hivi: tafadhali naomba usome tangazo lile pale, nilipoenda kusoma hilo tangazo nimechoka kabisa,tangazo linasisitiza watu waje na chenji lakini halijasema usipokuwa na chenji hupati huduma
Jamani sasa hii nchi tunakokwenda kumeshaanza kuonekana
leo nimeshangazwa sana na wale wanaokatisha tiketi baada ya kuniambia inabidi nije na chenji ya sh 200. Nikamuuliza mhudu huyo swali Je ni nani anapaswa kuwa na chenji kati yangu mi na wewe? alichonijibu, pisha nihudumie wengine? Nikaamua kumfuata kiongozi wao,naye alinjibu hivi: tafadhali naomba usome tangazo lile pale, nilipoenda kusoma hilo tangazo nimechoka kabisa,tangazo linasisitiza watu waje na chenji lakini halijasema usipokuwa na chenji hupati huduma
Jamani sasa hii nchi tunakokwenda kumeshaanza kuonekana