Utaratibu kuhusu saluti

Utaratibu kuhusu saluti

Mmang'ati

Senior Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
184
Reaction score
49
Wadau nna imani kuwa ntapata msaada juu ya utaratibu wa kupiga/kupigiwa saluti. Nikianzia na obama huwa namuona akijibu anapokuta askari wanampa saluti bt jk cjawahi ona. Then leo msibani kova ameshusha saluti je ni sheria?hata marehemu akiwa raia? Imenichanganya zaidi aliposhusha saluti kamanda Sugu ni sahihi au kwa vile alikuwa na gwanda lile la chama. Mnijuze tafadhali ndugu zangu ikiwezekana na mi niwe nikiangusha panapostahili maana police na wajeda wabongo wanaweza kukuintelijensia kabla hata mkono haujafika begani.
 
1. A salute is a gesture or other action used to display respect.

2. Salutes are primarily
associated with armed forces, but other organizations and
civil people also use salutes.

3. methods of performing
salutes, using hand gestures, cannon or rifle shots, hoisting of flags, removal of headgear, or other means of showing
respect or deference.
 
Askari akiwa ndani ya sare anaruhusiwa kuipigia saluti maiti ya kiraia, kijeshi, hata ya mtoto mchanga. Ila huyo raia aliyevaa magwanda ya chama sijui amepata wapi authority ya kupiga saluti ya kiaskari. Akifanya tena, hebu mlete kwangu haraka sana nimfunze nidhamu. Sawa?
 
Askari akiwa ndani ya sare anaruhusiwa kuipigia saluti maiti ya kiraia, kijeshi, hata ya mtoto mchanga. Ila huyo raia aliyevaa magwanda ya chama sijui amepata wapi authority ya kupiga saluti ya kiaskari. Akifanya tena, hebu mlete kwangu haraka sana nimfunze nidhamu. Sawa?

hata raia wa kawaida anaruhusiwa kupiga salute.
 
hata raia wa kawaida anaruhusiwa kupiga salute.

Salute ni salamu kwa hiyo askari wakivaa uniform hutoa salamu kwa njia ya salute na askari ni nani ni mtu yeyote anayefanya kazi za kiaskari kwa wakati huo awe mlinzi wa kampuni au mgambo ni askari kwa hiyo kamanda sugu naye kwa kuwa na mwonekano wa kiaskari alikuwa sahihi kutoa heshima/salamu za mwisho kwa njia ya salute
 
Sasa,kama ndo ivyo,kuna uhusiano gani kuipigia maiti salute?Jst a respect or what?Naic ktk mazingra ya kidini,sala fupi,ishara ya msalaba,dua n.k.vinaweza kuwa valued rather than salute.Au?
 
Ninavyofahamu, saluti askari anatakiwa kumpigia mkubwa wake tu, na yeye ataipokea kwa saluti kama yuko na uniform na kofia, vinginevyo atatakiwa kuipokea saluti hiyo kwa kukakamaa tu. Hii ya igp na geneza la kanumba sijui kwa kweli.
 
Sasa,kama ndo ivyo,kuna uhusiano gani kuipigia maiti salute?Jst a respect or what?Naic ktk mazingra ya kidini,sala fupi,ishara ya msalaba,dua n.k.vinaweza kuwa valued rather than salute.Au?

nafikiri kuna point una i over look,ASKARI AKIWA KWENYE SARE, Hata kama alikuwa kwenye ibada,suala la salamu ya mwisho kwa marehemu linamtaka afanye hivyo otherwise asivae sare awe civilian.
 
Inategema na tafsiri yako ya saluti. Saluti ni salamu; wanajeshi wanaionyesha kwa kuweka kiganja cha mkono wao wa kulia juu ya paji la uso wao. Kila jeshi lina namna ya kuiweka, wengine hunyoosha viganya vyote, wengine hutumia vidole viwili; na askari wote katika jeshi hilo wanatumia sataili moja ya kufanya hivyo. Raia hufanya hivyo kwa namna mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kupungiana mikono, kuweka kiganja kwenye lips za mdomo, kunyoosha vidole viwili hewani,kunyoosha ngumi hewani, na vile vile kuweka kuweka kiganja cha mkono wa kulia juu ya paji la uso kama wafanyavyo askari. Kwa hiyo saluti ni saluti tu, hakuna saluti ya askari wala ya raia au ya maiti.
 
Salute ni salamu kwa hiyo askari wakivaa uniform hutoa salamu kwa njia ya salute na askari ni nani ni mtu yeyote anayefanya kazi za kiaskari kwa wakati huo awe mlinzi wa kampuni au mgambo ni askari kwa hiyo kamanda sugu naye kwa kuwa na mwonekano wa kiaskari alikuwa sahihi kutoa heshima/salamu za mwisho kwa njia ya salute

Naomba nkujuze kuwa Salute aloitoa Sugu ni ya kiraia si kama askari
 
Huwa naona mara nyingi askari akiwa ndani ya uniform ikipita maiti anapiga salute
 
Askari yeyote akiwa katika mavazi ya kisheshi, amevaa kofia, anatakiwa kupiga salutiya mkono anapokutana na msafara uliobeba maiti gari husika, akiaga maiti haijalishi ni raia au askari wote wanapewa heshima ya mwisho kwa mapambano ya duniani.
 
1. A salute is a gesture or other action used to display respect.

2. Salutes are primarily
associated with armed forces, but other organizations and
civil people also use salutes.

3. methods of performing
salutes, using hand gestures, cannon or rifle shots, hoisting of flags, removal of headgear, or other means of showing
respect or deference.

Comrade hapa umetisha ambae hata uelewa ufafanuzi huu hatokuja kuelewa milele
 
Hii ya kamanda Sugu ilikuwa "FEKI"


sugu na salute.JPG

Kila nchi ina utaratibu wake, USA rais ni mkuu wa majeshi hivyo ni mjeda kwa cheo chake kama ilivyo bongo, lakini USA unaruhusiwa kupiga saluti hata kama huna sare za kazi, ndio maana mapresdaa wa USA wanazipiga kama kawa.

Tz rais hapigi kabisa saluti, na askari haruhusiwi kupiga saluti ya kiganja kichwani kama hajavaa full sare za kazi, hapa namaanisha lazima uwe umevaa full kuanzia kofia hadi viatu, kiki miss kimoja au ukiwa huna sare unabana mikono kuonyesha heshima
Pia askari wanapigia saluti maiti kama wamevaa sare na hasa wakati wa kuaga.kama hana sare anabana mikono
 
Ninavyofahamu, saluti askari anatakiwa kumpigia mkubwa wake tu, na yeye ataipokea kwa saluti kama yuko na uniform na kofia, vinginevyo atatakiwa kuipokea saluti hiyo kwa kukakamaa tu. Hii ya igp na geneza la kanumba sijui kwa kweli.

Mwe! Kova ni IGP tangu lini?!
 
Salute ni salamu kwa hiyo askari wakivaa uniform hutoa salamu kwa njia ya salute na askari ni nani ni mtu yeyote anayefanya kazi za kiaskari kwa wakati huo awe mlinzi wa kampuni au mgambo ni askari kwa hiyo kamanda sugu naye kwa kuwa na mwonekano wa kiaskari alikuwa sahihi kutoa heshima/salamu za mwisho kwa njia ya salute

kwa nini Obama anapiga saluti tena akiwa kwenye vazi la suti?
 
Salute ni salamu kwa hiyo askari wakivaa uniform hutoa salamu kwa njia ya salute na askari ni nani ni mtu yeyote anayefanya kazi za kiaskari kwa wakati huo awe mlinzi wa kampuni au mgambo ni askari kwa hiyo kamanda sugu naye kwa kuwa na mwonekano wa kiaskari alikuwa sahihi kutoa heshima/salamu za mwisho kwa njia ya salute

hata ukiwa na vazi la kiraia una ruhusiwa kupiga saluti mfano mzuri Obama yeye anapiga salute kavaa suti. Kombati hazihusiani na saluti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom