UTARATIBU KUHUSU GPA 3.0 - 3.5

UTARATIBU KUHUSU GPA 3.0 - 3.5

Joined
Jul 15, 2017
Posts
13
Reaction score
5
Habari wana jamii forum naomba kuuliza hivi ni vigezo gani vinatumika kufanya kozi hii G.P.A iwe 3.0 na nyingne iwe 3.5, ni chuo au kozi, maana kuna kozi naziona ktk chuo A ina G.P.A 3.5 , Ukienda chuo kingne unaiona ina 3.0 naomba msaada hii ikoje,mfano kuna kozi inaitwa Bsc science general Udsm ina G.P.A 3.5 , Ukienda OPEN UNIVERSITY kozi hiyo hiyo but G.P.A ni 3.0 why? msaada pls
 
Me hapa naona wamekosea sana... kama UDSM vigezo vyake viko high ukilinganisha na vyuo vingne...
 
Vyuo vinatumia scale tofauti.
Vipo ambavyo GPA inaishia 4 vingine 4.3, 4.5, 5. Sasa inategemea umeona chuo kipi. Hapo inabidi u-convert tu kutoka scale moja au nyingine.

Ndiyo maana GPA hua wanaandika mfano 3.5/4.3. Ni sawa na marks za kawaida, mitihani mingine inafika 100, mingine marks mwisho 50, au hata 30, sasa mtu akipata 30/30 si utampa A?
Hehehe mtanzania mbona kitu rahisi sana kinakuchanganya.
 
Me hapa naona wamekosea sana... kama UDSM vigezo vyake viko high ukilinganisha na vyuo vingne...
Inawezekana UDSM wameamua kuwa kiwango chao cha chini kwa watu wenye Diploma ni 3.5. Kuna mawili-kwa sababu wana amini wao ni chuo pendwa, watapata waombaji wa kutosha lakini pia huenda hawataki watu wa diploma wengi kwa sababu wazijuao wao hivyo wanaweka GPA ya juu zaidi. Hata hivyo hawaja kwenda kinyume na TCU ambayo inataka kiwango cha chini kisipungue 3.0 kwa kozi ambazo si za afya.
 
Back
Top Bottom