King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,685
Usitume hela kwa mtu bila kumpigia kwanza ndio unamwambia natuma hata kama namba ni hiyo hiyo.
-Usitume fedha kwa mtu kisa kakutumia meseji,we kausha tu.....Mwenye shida atapiga tu.
-Usitume fedha kwa mtu kisa kakutumia meseji,we kausha tu.....Mwenye shida atapiga tu.