Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Mmh!
Serious....nlikumis sana mpk nikaamua kuja lkn naona kimya
Mmh!
Mweh!Serious....nlikumis sana mpk nikaamua kuja lkn naona kimya
Mweh!
Mweh!
Mi napenda hapo uliposhikaNakupenda tu
Mi napenda hapo uliposhika
chizi weweNapenda ulipokalia
Apo hujatapeliwa, umejitapeli mkuu. Kutapeliwa ni kudanganywa kisha ukatuma hela na TCRA hawatoshuhulikia hio kesi wala polisi.Mimi sitapanic lakini wapo wanaojua kupanic tena wapo mijini, an wengine wamo humu humu. TUELIMISHANE ndio jambo muhimu
Kama upi?Unasupport ujinga na kutosupport ujinga hapa!!
chizi wewe
Sipaoni, sina macho ya nyumaUmejiangalia palivyopendeza ukaona ni kweli
Sipaoni, sina macho ya nyuma
Ha haaaa pm kuna camera au?Hebu njoo pm nikuangalie tena
Ha haaaa pm kuna camera au?
StakiUkija ndio utajua ntaonaje
Staki
TCRA wako bussy na kina Nandi na michupi yaoTuusome na kama na wewe ulishatumiwa au kama bado jiandae na ujifunze, usikurupuke kutuma pesa
_______________________________________________________________________
Habari ya kazi,
ile hela inabidi uitume kwenye namba hii 0753515775 jina litatoka HADIJA MELIMELI,usitume kwenye namba yangu imefungwa,simu hazingii wala kutoka
Hawa watu ni kina nani hawa walio na uwezo wa kupata namba karibia ya kila mteja wa vodacom na kumtumia ujumbe wa kutuma pesa, mbona wanajiamini kiasi hiki!
_______________________________________________________________________
TCRA wao wako bussy na mambo mengine huku wananchi wakitapeliwa na kufanyiwa crime za kwenye mitandao, hata ukiripoti no impact