Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,455
- 283,795
Ni Aibu kuuSo sad
Hawana hela, Mpira pesa, Na hapo vikwazo bado havijaanza, vikianza hata Taarifa ya habari itakuwa hakunaNipo nimehamia kujipoza na Rugby hapa.
TBC wataonesha kwa mapenzi yao mechi wanazozijua wao
Achana na TBCCM, tumia Azam channelsUnajua Bwana, niliposikia eti TBC wanadanganya Watu kwamba wataonyesha mechi za kombe la Dunia nikashangaa sana! Kwamba Hawa makapuku wametoa wapi uwezo huo?
Nikajua tu kwamba hawana uwezo huo, Leo nimejaribu kuuliza wadau Kama hicho walichoropoka wametimiza, majibu yake yamenifanya nijipongeze
Ama kweli Mbwa ukimjua jina hakung'ati, Hamna kitu
Poor TBC!
Hivi dochi vele bado ipo?Isingekuwa tbc n Mali ya serikali, mkurugenzi mkuu mwnyw angekimbia kwa udogo wa mishahara 😂
Natumia DSTVAchana na TBCCM, tumia Azam channels
Dochi vele haiwez kufa mana sio mali ya Bongo, ila kwa hapa bongo kuruka cjuiHivi dochi vele bado ipo?
Kwa ajili ya utafiti tu ili kupiga spanaHivi kuna watu bado mnaangalia TBC tv?
Ambazo hata watu hawana intention nazoRatiba ya TBC mechi za kombe la dunia...
Curacao vs Cabo Verde
Haiti vs Uzbekistan
Iraq vs Panama