Utapeli mpya waibuka Dar

Mkuu, jukumu la usalama wako linaanzia kwako mwenyewe... lazma na wewe uende polisi, inawezekana kabisa polisi wanfanya kazi yao ila wewe hujui bali uko kwenye surveillance tu hadi hao jamaa watakapokusogelea

kingine muhimu ni kwamba umeanika sana kiasi kwamba wanaweza kukuharibia

Pole sana Msanii na nina imani hili ni jambo dogo na utapata seurity na safety ya kutosha, amini nikuambiayo
 
police nao wamo kwenye hizo deal, chukua hatua mwnyewe
 
kama hivyo ndivyo usalama upo hatarini vp na wale ni wasanii ata ungekula pesa yao akuna kesi kwani inakuwa nichambo mikunafulani waliibuka wa madawaya famigation nikawageuzia kibao wakaingia mitini
 
Msanii inaonekana ulitaka kusaniishwa!!! Tatizo umeanika mapema sana kiasi kwamba hata wenyewe wanaweza kupata khabar!! sababu wote hao wanaokusaniisha ni wabongo tu!! Wazungu siku izi wapo hadi kariakoo congo!! Unapewa no za nje unaongea na matapeli wa bongo walioko huko alafu wanawatuma wazungu wa kariakoo kuja kukusanii!! Na mara nyingi utapeli wa muda mrefu huwa wanahakikisha wanakuacha penyless!!!! Mi nakushauri toa taarifa polisi alafu achana nao kabisa. Sababu umeshawaanika wanaweza wakatumia mbinu nyingine ya kukusanii ukijua unawakamatisha kumbe unatapeliwa!!
 
poa nashukuru kwa ushauri wenu wakuu.
 
You were right by being suspicious. The best solution is tell him frankly that you are not interested in the business full stop. Jamaa hawa wameshaliza watu wengi sana na katika syndicate hizi kuna watu wa aina mbalimbali wahindi/wazungu/wakenya/wasenegal nk ndoano yao ni kukutia tamaa ya faida ya haraka haraka lakini at the end of the wanakuliza au hukuwacha with an empty bag na wewe kufanywa scapegoat ukatiwa nguvuni.
 
jamani kwani wameanza tena walishakamatwaga hao watu
 
Duh ama kweli ukistaajab ya MUSA utaona ya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…