Utapeli mpya kwa wafanyabiashara

Mkuu hizo betri akatolee kaunta ya polisi.

Huyo ni kumkomesha kwa kumfungulia kesi
 
Kama wana makando yao basi hawawezi kwenda wataogopa.

Ila kukabidhi mzigo na kusepa bila kupokea hela, hapo wamezingua.
Biashara ilikuwa ya halali haina makando kando
 
Yaani mmepigwa kiuzembe kabisa

Alafu kwa taarifa yenu sahvi matapeli

Wanapenda kutumia address za masaki,obay,mbezi beach maana wanajua nyie mnashobokoa na watu
Wa huko na mnawaamini

Ova
 
Somo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…