Nilikuwa Safari ya Kikazi Mjini Moshi Tarehe 29-31, Dec, 2015. Muonekano wa Hotel na kuwa Centre ya mji vilinivutia, lakini kilicho ndani ya Hotel ni Wizi Unaoendana na Huduma Mbovu Kupindukia.
Chumba 30,000 /=, hakuna maji ndani ya vyumba , hakuna Television , Ceiling Fan Hazifanyi Kazi, Switch Socket Hazifanyi Kazi,
Niliongea na Baadhi ya Wahudumu na nikapitia vyumba vyote hali ni hiyo hiyo na kunieleza Uongozi umeshaelezwa lakini hawataki kubadilika.
Serikali / Ofisa Biashara Mjini Moshi Chukua Hatua Kutembelea Hotel Hiyo Kabla Jipu halijatumbuliwa.
Malalamiko ni mengi Mno..
Chumba 30,000 /=, hakuna maji ndani ya vyumba , hakuna Television , Ceiling Fan Hazifanyi Kazi, Switch Socket Hazifanyi Kazi,
Niliongea na Baadhi ya Wahudumu na nikapitia vyumba vyote hali ni hiyo hiyo na kunieleza Uongozi umeshaelezwa lakini hawataki kubadilika.
Serikali / Ofisa Biashara Mjini Moshi Chukua Hatua Kutembelea Hotel Hiyo Kabla Jipu halijatumbuliwa.
Malalamiko ni mengi Mno..