Harry singo
JF-Expert Member
- Apr 24, 2016
- 355
- 446
Nililipa 617 na machenchi hivi kwa mwaka mzima nadhani ilikua fair maana niliingiza 1,500,000 kwenye kukuSawa.Ulipo kopa hiyo 500000 ulilipa jumla ya sh ngapi na kwa muda gani pamoja na riba.Labda tuanzie hapo
Kwa muda mrefu watu wamekuwa wakilalamika kwamba Bayport ni kampuni ya kukopesha yenye riba kubwa, wapinzani wakachukua nafasi hiyo kusema Bayport ni loansharks na mengine mengi LAKINI HIYO SIO KWELI Bayport wamepunguza sana riba zao huwezi amini hakuna financial institution nyingine inayoshinana na bayport kwa sasa kwa upande wa ubora wa mikopo mimi binafsi niliwahi kukopa 1,500,000 mwaka 2009 na nilipata shida sana na makato ya wakati huo, mwaka jana nikakopa 500,000 ili tu kuona kama taarifa za kuboreshwa kwa huduma zao ni kweli na tarehe 30 mwezi uliopita nimemaliza mkopo wangu na sijapata kero kama ya wakati ule ningependa kuwashauri watanzania wenzangu kwamba if you want to go for something go for it usisikilize maneno meengi,wengi wao ni wapinzani nimegundua. Kama ungependa kujaribu uhakika wa taarifa hizi za mikopo we jaribu kupiga namba zao 0684 034 666 hizo ndio fikra zangu,changia kwa uhuru matusi yameze taratibu sio lazima ujidhalilishe
Wee acha kabisa nina jirani yangu alikopa 3,000,000 mwaka jana. Wakamwambia jumla na makato atalipa 5,500,000 kwa miaka mitano. Akachukua mkopo. alipokuja kucheki salary slip wamemwandikia deni la kukatwa 8,600,000.Kwa muda mrefu watu wamekuwa wakilalamika kwamba Bayport ni kampuni ya kukopesha yenye riba kubwa, wapinzani wakachukua nafasi hiyo kusema Bayport ni loansharks na mengine mengi LAKINI HIYO SIO KWELI Bayport wamepunguza sana riba zao huwezi amini hakuna financial institution nyingine inayoshinana na bayport kwa sasa kwa upande wa ubora wa mikopo mimi binafsi niliwahi kukopa 1,500,000 mwaka 2009 na nilipata shida sana na makato ya wakati huo, mwaka jana nikakopa 500,000 ili tu kuona kama taarifa za kuboreshwa kwa huduma zao ni kweli na tarehe 30 mwezi uliopita nimemaliza mkopo wangu na sijapata kero kama ya wakati ule ningependa kuwashauri watanzania wenzangu kwamba if you want to go for something go for it usisikilize maneno meengi,wengi wao ni wapinzani nimegundua. Kama ungependa kujaribu uhakika wa taarifa hizi za mikopo we jaribu kupiga namba zao 0684 034 666 hizo ndio fikra zangu,changia kwa uhuru matusi yameze taratibu sio lazima ujidhalilishe
Yeah. Kama jamaa ana facts kweli kuhusu riba zao na jinsi na kuservice mikopo yao aweke then tuweze kucompare na financial institution zingine. Ila in short jamaa ni wezi. Na most of the time kwa vile wanaoenda kuchukua mikopo uelewa ji mdogo, wanaleta viujanja janja flani.Hao jamaaa ni zaidi ya shetani aise
Heading yako "Utapeli Bayport mikopo". Huku ndani unawasifia sikuelewi. (Au unawang'ong'a?) Nenda kajipange uwasafishe vizuri.Kwa muda mrefu watu wamekuwa wakilalamika kwamba Bayport ni kampuni ya kukopesha yenye riba kubwa, wapinzani wakachukua nafasi hiyo kusema Bayport ni loansharks na mengine mengi LAKINI HIYO SIO KWELI Bayport wamepunguza sana riba zao huwezi amini hakuna financial institution nyingine inayoshinana na bayport kwa sasa kwa upande wa ubora wa mikopo mimi binafsi niliwahi kukopa 1,500,000 mwaka 2009 na nilipata shida sana na makato ya wakati huo, mwaka jana nikakopa 500,000 ili tu kuona kama taarifa za kuboreshwa kwa huduma zao ni kweli na tarehe 30 mwezi uliopita nimemaliza mkopo wangu na sijapata kero kama ya wakati ule ningependa kuwashauri watanzania wenzangu kwamba if you want to go for something go for it usisikilize maneno meengi,wengi wao ni wapinzani nimegundua. Kama ungependa kujaribu uhakika wa taarifa hizi za mikopo we jaribu kupiga namba zao 0684 034 666 hizo ndio fikra zangu,changia kwa uhuru matusi yameze taratibu sio lazima ujidhalilishe
Una uhuru wa kuongea utakavyo freedom of speech,lakini hata mimi ninao pia uhuru huo,ubarikiwe..Heading yako "Utapeli Bayport mikopo". Huku ndani unawasifia sikuelewi. (Au unawang'ong'a?) Nenda kajipange uwasafishe vizuri.
Mkuu binamu yangu anawalailia hawa jamaa. Nimemsaidia kufuatilia ANAEJIPENDA ASIENDE KUKOPA KWA HAYA MATAPELIWee acha kabisa nina jirani yangu alikopa 3,000,000 mwaka jana. Wakamwambia jumla na makato atalipa 5,500,000 kwa miaka mitano. Akachukua mkopo. alipokuja kucheki salary slip wamemwandikia deni la kukatwa 8,600,000.
Jamaa mpaka leo analalamika hiyo kampuni aidha ilimdanganya kwamba angelipa milioni 5 na nusu au wajanja wamempiga cha juu na deni likapanda mpaka milioni 8 na nusu. Sasa hiyo riba sijui ni asilimia ngapi!!!
Anyway, tuwaachie wenyewe.
Mkuu binamu yangu anawalailia hawa jamaa. Nimemsaidia kufuatilia ANAEJIPENDA ASIENDE KUKOPA KWA HAYA MATAPELIWee acha kabisa nina jirani yangu alikopa 3,000,000 mwaka jana. Wakamwambia jumla na makato atalipa 5,500,000 kwa miaka mitano. Akachukua mkopo. alipokuja kucheki salary slip wamemwandikia deni la kukatwa 8,600,000.
Jamaa mpaka leo analalamika hiyo kampuni aidha ilimdanganya kwamba angelipa milioni 5 na nusu au wajanja wamempiga cha juu na deni likapanda mpaka milioni 8 na nusu. Sasa hiyo riba sijui ni asilimia ngapi!!!
Anyway, tuwaachie wenyewe.
Poleni na binamu yako kwa masaibu kama ni kweli, naomba uweke facts za alikopa sh ngapi na alikatwa sh ngapi ni mfanyakazi wa wapi nk. Sio maneno matupuMkuu binamu yangu anawalailia hawa jamaa. Nimemsaidia kufuatilia ANAEJIPENDA ASIENDE KUKOPA KWA HAYA MATAPELI
Kwanini unabisha kama wewe sio mfanyakazi wa Baypot au una interest nao? Unataka za nini details zote hizi?Poleni na binamu yako kwa masaibu kama ni kweli, naomba uweke facts za alikopa sh ngapi na alikatwa sh ngapi ni mfanyakazi wa wapi nk. Sio maneno matupu
Sijabisha nimekupa poleKwanini unabisha kama wewe sio mfanyakazi wa Baypot au una interest nao? Unataka za nini details zote hizi?
Nadhani una maslahi nao mkuu, kubali tu na moyoni kwako unajua kabisa jamaa umafia wao ndio maana ukaanza kusema hutaki matusi kwenye kuchangia maana ulijua kabisa utakwaza watu
ShameNililipa 617 na machenchi hivi kwa mwaka mzima nadhani ilikua fair maana niliingiza 1,500,000 kwenye kuku