Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Bonny MWAITEGE kweli ni noma sasa naanza kutafakari kwa makini sana wimbo wake wa "UTANITAMBUJAE KWAMBA NIMEOKOKA"
Hakika wimbo huu pia tunaweza kuutambua kwa jina "UTANITAMBUAJE KWAMBA SIJASOMA", ambapo majibu ya majina yote hayo ni tu nalo ni "MATENDO" jana kuna jamaa mmoja katuwekea CV mhehimiwa Mbunge wa Musoma Mjini, leo kuna thread ya "ELIMU YA LEMA utata mtupu" na kweli nimejaribu kutembelea tovuti ya bunge kujiridhisha nikaona ni kweli ni utata mtupu.
Mtanisamehe naomba nimuunagnishe Mbunge wa Mbeya Mjini. Kwa kweli Matendo yao ni tafsiri tosha ya viwango vyao vya elimu. Kwa hiyo Mbwembwe zao zote ni kujaribu kutetea kuendelea kuwepo ndani ya vijana Wasomi wa CHADEMA.
Hakika wimbo huu pia tunaweza kuutambua kwa jina "UTANITAMBUAJE KWAMBA SIJASOMA", ambapo majibu ya majina yote hayo ni tu nalo ni "MATENDO" jana kuna jamaa mmoja katuwekea CV mhehimiwa Mbunge wa Musoma Mjini, leo kuna thread ya "ELIMU YA LEMA utata mtupu" na kweli nimejaribu kutembelea tovuti ya bunge kujiridhisha nikaona ni kweli ni utata mtupu.
Mtanisamehe naomba nimuunagnishe Mbunge wa Mbeya Mjini. Kwa kweli Matendo yao ni tafsiri tosha ya viwango vyao vya elimu. Kwa hiyo Mbwembwe zao zote ni kujaribu kutetea kuendelea kuwepo ndani ya vijana Wasomi wa CHADEMA.