Mnatoa nyapu kwa vitu vidogo sn..Wamekuaje??
Mfano kazini kuna dada mmoja na kaka mmoja hivi mhmmhmhmhmh! Ni aibuuuuKabisa kabisa utani-utani huzaa Matunda!
Wanawake walio wengni mnapenda sana Utani-Utani,Ukishakunogea ohh mara Jana nimepatwa na ndoto ya ajabu Juu yako, ohh jamani Wewe unanifurahisha sana!! N.a. Wanaume wengi walivyowashenzi kichwa cha chini kinakuwa kinafanya mahesabu Makali mno (integrations& differentiation na probability).
Hatimaye Tunda la Apple linatafunwa!
EeeMfano kazini kuna dada mmoja na kaka mmoja hivi mhmmhmhmhmh! Ni aibuuuu
Ni usiku mwingine, kwa wanafamilia baba mama kama upo nyumbani mida hii ubarikiwe sana and God bless you for being responsible. Nakama upo mihangaikoni pia barikiwa sana lakini nyie mliopo kwenye konakona nyie mungu anawaona.
Mtu mwenye akili timamu haiti waume/ wake za watu petty names. Huwez kuwa mwenye adabu na unaita mume/ mke wa mtu switie, baby, honey, mpenzi na mkikutana kama ni ofisini unajibebisha na kujidekeza kabisa na halafu unasema ni utani....Haya mautani baadae yanageukaga yanakua kweli. Unaweza kumtania tania namna hiyo na ukute kwake hajaitwa namna hiyo tangu walipofunga ndoa, ukute kwake hafanyiwi hivyo akaamua kufanya kweli na ukashindwa kujitoa. Wengine mnatania tania kumbe moyoni mnaombea iwe kweli. Fanya utani kwingine lakini sio waume/ wake za watu. Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Heshimu ndoa za watu. And viceversa is true...
Wanaume mnalijua hili ''!??? Wanawake tunapenda na tunafurahi sana kuona waume zetu mpo nyumbani usiku fulani hivi wa kutatanisha. Hata kama tumetofautiana ule uwepo wako nyumbani mapema tu kimoyomoyo tunakua na amani hata mambo yanaeza soviwa bila hata nyie kujua.
Tanzania bila michepuko Inawezekana!
Tukubaliane mambo mengine hayatupeleki mbinguni!
Nihayo tu kwaleo
Kwahiyo tuzoee hayo maisha?? Hayawezi kubadilika!?Usilie sana sweetie....unajuwa ndoa nyingi hapa Bongo ni za utata mtupu. Kina Mama wengi wanaishi na waume zao ili mradi tu ila kutoka wanashindwa kwa ajili ya watoto. Wanaume wengi hawako serious na ndoa zao na ndiyo maana hata kwenye picha za harusi utaona ni mwanamke tu ndiye mwenye furaha huku mwanamme akitabasamu kuwa kishakupata wa kukuweka selo, kesho akihamka salama atakwenda kwa nyumba ndogo akapozwe huku wewe unawaza jinsi utakavyotambia wanawake wenzako. Ndoa nyingi za kibongo ni maigizo mtupu, usilalamike sana sweetie wangu, kwani imeshakuwa fashion sasa kuishi na ndoa za mizengwe.
Kwahiyo tuzoee hayo maisha?? Hayawezi kubadilika!?