Utani msibani

Hakuna binaadam yeyote ambae ki asili si Muislaam, wote tunazaliwa Waislaam, unajuwa maana ya Uislam?

Uislam maana yake ni kujisalimisha kwa Muumba wako. Nani ambae amezaliwa hajajisalimisha kwa Muumba wake? Fikiri.

Du.....!! Hii mi ndo naisikia leo
 
Ohoo wenye dini zao washakuja hapa. Aisee
 
Yani hata mimi huwa siupendi kabisa,ila siku ntapiga mtu aiseee!!!!!

Utani si mbaya ila kuwe na mipaka mtu kafiwa na mzazi wake mtani anamwambie mfiwa ndiye kaua utani gani huo mdogo wangu aliwashikia panga mbona walikimbia wote na kususa baadae wakarudi wenyewe hawakutania tena, jirani kulikuwa na msiba watani wakachukua unga wakachanganya na pilipili wakawapaka wafiwa usoni ati huo nao utani, utani wa hivyo si ukaribishi. Kuna utani wenye staha huo naukubali
 

haf kuna watu wanatetea utan! tuwe serious
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…