snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
mtu anaweza kuwa mtanashati akawa mchafu!maan utanashati ni tabia ya nje na usafi ni tabia ya ndani
mtu anaweza kuwa maridadi na siwe msafi vile vile,since umaridadi hutazamwa nje
mtu anaweza kuwa mzuri(kwa vigezo vyake au wengine asiwe msafi,maridadi na mtanashati!
sasa ukichanganya yote hayo kumbe kilicho bora ni usafi!maana huu upo ndani kabisa ya mtu!
akiwa msafi atakuwa maridadi,mtanashati na mzuri vile vile since mara nyingi mwaanadamu hutafsiri uzuri kwa kile kinachomvutia machoni so msafi has it already!watu watavutika nae tu!therefore analamba bingo lote!
mtu anaweza kuwa maridadi na siwe msafi vile vile,since umaridadi hutazamwa nje
mtu anaweza kuwa mzuri(kwa vigezo vyake au wengine asiwe msafi,maridadi na mtanashati!
sasa ukichanganya yote hayo kumbe kilicho bora ni usafi!maana huu upo ndani kabisa ya mtu!
akiwa msafi atakuwa maridadi,mtanashati na mzuri vile vile since mara nyingi mwaanadamu hutafsiri uzuri kwa kile kinachomvutia machoni so msafi has it already!watu watavutika nae tu!therefore analamba bingo lote!