Utamu wenye maumivu

Update:
Mungu wangu mida hiii nimehoji mabarobaro ninaokaa nao 2 watoto wa dada angu nimewauliza kua kuna aliowahi kutembea na binti huyu 1 wao amekiri kutembea nae hapa nilipo tumbo linaniuma yaaani nilipanga nimpe 1M nikimrudisha kwao ila nimehairi simpi hata 100.
 
Aiseeeee PEP zina muhusu
 
Kwani umesha waambia full story.

Hayo ndo matatizo, na kama walikuwa wana nyonyaa na K [emoji23][emoji23][emoji23]
 
We mpe tu huenda huyo mtoto wa dada yako ndo aliemwambukiza binti wa watu.
 

aisee, jamaa yupo gridini nae,
 
Binafsi naumia nikiiona mtu ana mnyanyapaa mtu kisa hiv maana ni ugonjwa kama magonjwa mengine mengine na huenda HIV ndio ugonjwa wenye nafasi kubwa kwa wanadamu kwasababu ya mazingira na kinachosababisha
Kuepuka ni kwa neema ya Mungu maana upo katika njia nyingi
 
Sasa hata ukimnyima inakusaidia nini. Watu huwa hamuangalii mtu kafanya jambo flani kwa sababu gani. Sasa nakupa kitu kimojs hiki uelewe. Mara nyingi house girls hutembea na wanafamilia wa mwenye nyumba kwa lengo la kulinda kazi yao. Huyo bint hakutembea na hao vijana kwa lengo la kuleta maradhi kwenye himaya yako. Kumfukuza bila kumpa hata mia wewe utakuwa mnyanyapaaji wa mjini na msomi. Yaani nyinyi mlio mjini na mnajua kusoma na kuandika bado mnanyanyapaa watu wenye HIV+ je sisi tuliokijijini na hatujui hata vijarida vinavyolushwa kwenye tv tuwafanyeje. Lakini pia bora kwa kuwa unasimu mfungulie nadharia za dispecion hapa jf huenda ikamweka nomal kisaikologia na manufaa huko aendako
 
Mkuu easy saying difficult experiencing! Hivi unafikiri kazi rahisi kuishi na mtu mwenye HIV? Watu wanawakimbia hadi ndugu zao wa damu.
 
Mhhh wacha nijitathmini njia zangu asee.
 
Najitahidi ila hizi dawa akizila utamuonea imani zinamwisha nguvu analala tuuu baada ya kuwa yeye mfanyakazi sasa mimi ndio nimekua mfanyakazi namuhudumia yeye
Yaan unavoeleza najikuta kuwaza km vile ulitaka kupitia
 
Wewe bado mtoto mdogo, hujui usemalo. Hivi unajua kuwa ikitokea mkamuudhi huyo binti inakuwa rahisi kwake kumalizia hasira kwa watoto? Tena kwa kuwaambukiza kwa makusudi ili kukomoa kwa kutumia mfano miswaki au kama ni kitoto cha kiume kukilazimisha kufanya mapenzi? Hujawi kusikia visa kama hivyo???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…