Mkuu Eiyer kule MMU unakondoo wengi sana waohitaji mchungaji naomba utumie nafasi yako kama baba paroko kuwezesha huyu kijana kupata kondoo mmoja embu nakuomba uwa-mention hapa labda jamaa yetu ataonewa huruma.
Hahahaha! lol kumbe embu turejee kwenye neno kidogo "mpende jirani yako kuliko unavyojipenda" ukimfanikishia huyu kijana kupata mwenza hapa naamini njia itafunguka kwako pia baraka zitamiminikaaaaa!