Utamu wa lnfidelity

Jamaa macho yamemtoka akiangalia fuvu anajua naye anakoelekea ni huko huko infidelity zingine bana ni balaa, huyo ndugu fuvu sijui alikomaa hapo kwa muda gani hadi akawa hiyo
 
Ukifuata sheria za Infii huwezi fika hapa..............
 
Ndo maana mi natafuta dawa ya kukitokomeza hiki kitambi kinachoninyelea kwa kasi.
Mambo ya ku under perform siyataki kabisa, kwanza hamna dhambi ninayoipenda kama kuruka ruka kwenye KIMPOMPWISO
jamani eti watu wenye matumbo ka huyo jamaa aliye ibiwa hapo pichani ushiriki wao kwenye kunanihiina ni mdogo?
NO OFFENCE!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…