Dibo10 JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,298 1,563 Aug 8, 2016 #22 1. Jamani kwa dodo,samaki ukamsusa 2. Ukalila kwa fujo,Maganda hukutupa 3.Sasa mwayego, Msimu Umekwisha 4. Utalipata wapi dodo,Embe tunda la msimu. (najaribu kuwakumbusha wanamalenga)
1. Jamani kwa dodo,samaki ukamsusa 2. Ukalila kwa fujo,Maganda hukutupa 3.Sasa mwayego, Msimu Umekwisha 4. Utalipata wapi dodo,Embe tunda la msimu. (najaribu kuwakumbusha wanamalenga)
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,476 39,995 Aug 9, 2016 Thread starter #23 watu mna kumbukumbu....
memory card JF-Expert Member Dec 17, 2013 252 153 Aug 10, 2016 #24 dodo tunda msimu,ukiisha lapotea utajitia wazimu,ukikosa tajutia utaganda kama sanamu,hujui pa kutokea dodo tunda la msmu,mzee achana nalo
dodo tunda msimu,ukiisha lapotea utajitia wazimu,ukikosa tajutia utaganda kama sanamu,hujui pa kutokea dodo tunda la msmu,mzee achana nalo
Dibo10 JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,298 1,563 Aug 12, 2016 #25 Mzee Mwanakijiji said: watu mna kumbukumbu.... Click to expand... hahaha mkuu old is gold
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,476 39,995 Nov 27, 2018 Thread starter #26 Duh kuna mtu kagongea "like" imebidi nije kukumbushia..