Kwa upande wangu naona kam vile wanawake unaowapata wako sababu ya kitu fulani
ambacho kinawafanya wakishakipata waamue kukuacha solemba.
Cha kufanya ni kujitahidi kuweka vigezo vyako ambavyo vitakupelekea uweze kumpata
unayemhitaji awe ako wa maisha,
Kwangu mimi vigezo nilivyoviweka kwa mwanamke nimtakae ni kama vifuatavyo:
1. Awe mpole na mwenye kauli nzuri ambazo zitatufanya tuishi kwa amani.
2. Awe mchapakazi na wala asiwe mvivu/mtegeaji kazi.
3. Awe ananisaidia ushauri pale ninapomshirikisha.
4. Awe mwenye malengo mazuri na mapenz yetu.
5. Awe mcheshi na asiyependa kukasirika mara kwa mara.
6. Sura, umbo, maalio hivyo ni nyongeza tu.