This is very serious Mkuuu... Ukitoka madawa ya kulevya kwa vijana.. Kitu kingine cha kinyume na maadili kinachosumbua vijana ni hiki...Dah,,, wabongo kwa kujadili ujinga,,,,,, ila ukiweka uzi wa maana huoni hata wa kupita,,,,,
Mmmh!Wapo wanaopenda si wana angalia Porno mwisho wa siku anajaribu mana kuna mafuta yanauzwa kulainisha so mwisho wanajaribu ndo basi tena
Kabisa mkuuSiyo wote tuna roho mbaya .kama unavyosema watu wanaambiana kuwa ni nzuri sana kufanya huko.sasa kila mtu anataka kujaribu.haya ukija kwa nyie wakina Dada mko bize masaa 24 kuhakikisha makalio yanaonekana na hata kujitengeneza na madawa ili iweje? Hapa wote wana makosa wanawake kwa wanaume.japo naamini wanaume ndio tuna uwezo wa kubadilisha mawazo ya wanawake kuhusiana na tabia hiyo chafu.
Wakati mwingine wanaomba wenyewe. Inabidi utoe kilio cha mamba. Unakula huku unalia.Hao ni wale wanaotanguliza raha na kusahau madhara.
Ila nawewe uwe na huruma.
Nilikuwa sijui kumbe hayo mambo yanahusiana na uvaaji viatu kwani akivaa viatu virefu nini kinatokea?
Curiosity killed the catIvi kuna wanawake wanapenda kweli hii kitu?
Haiumi?
Ila mna moyo aisee kwani ukikataa kitaharibika nini?Wakati mwingine wanaomba wenyewe. Inabidi utoe kilio cha mamba. Unakula huku unalia.
Ndo hivo dada we huoni kesi za wake za watu kulalamika kuombwa Tigo na wake zao mpaka wanaomba talakaMmmh!
sasa kama umepewa unakataaje?hehehIla mna moyo aisee kwani ukikataa kitaharibika nini?
Uko radhi kumuharibu kisa kakupa. Huruma inahitajika saa ingine.sasa kama umepewa unakataaje?heheh
mkuu embu nijibu swali langu vipi kama si mzoefu wala hajawahi jaribu italeta majibu gani?Kweli mkuu...ila Vicks hachomoi mkuu..hata siku moja
Mkuu hilo suala ukimfanyia anakuwa hafikirii kama ulidhamiria kula TIGO... Ataona ulilenga kumsaidia kumkuna..pia MTU kama hujawahi kuliwa TIGO.. kuna ulaji wake...unatumia mfumo wa NUSU KICHWA..sio mwili MZIMA...mkuu embu nijibu swali langu vipi kama si mzoefu wala hajawahi jaribu italeta majibu gani?
Tena wanasema MATANGO ukipewa halali..ila UKIIBA matango ni haramusasa kama umepewa unakataaje?heheh