Wakubwa shikamooni,warika langu mambo vp?Wadogo zangu nipeni vifijo na nderemo.
Napenda kujumuika nanyi ktk hili jukwaa.Umri wangu ni miaka 25,ni kijana wa kiume,tena rijali.Ni matumaini yangu kuwa mtanipokea kwa stahiki.
........,tena rijali.............