Utamaduni wetu ulilikuwa Baba ndio kiongozi wa familia na ndugu kama vile Mjomba, Shangazi, Mama Mdogo. Mtoto wa dada yako, Mtoto wa kaka yako, hawa wote ni watu wako wa karibu sana.
Lakini sasa mambo yamebadilika kina mama ndio wanaongoza nyumba, na mambo ya undugu hamna tena, inakuwa kama Ulaya na Marekani, familia ni Baba Mama na Mtoto hakuna tena kuongeza mtu