Wakuu nimeanzisha thread hii ili watu tujulishane ni kwa kiasi gani tunaweza kutembelea vivutio vyetu vya ndani vya utalii kwa bei nafuu au bei affordable, kwa mfano kama sehemu watu wanaweza ku drive badala ya kupanda ndege au badala ya watu kulala ndani ya vivutio basi walale kwenye hoteli zilizo nje ya vivutio kwa kuwa huwa zinakuwa za bei ya chini kidogo na hakuna gharama za park fee.
Hapa nataka tupeane options na ikiwezekana na gharama zake japo kwa makadilio tu, na ikiwezekana, travel agent wa kuwaona, mabasi gani ya kupanda na hotel gani za kufikia.
Hii iwe kama USHAURI WA SAFARI ZA NDANI
Hapa tuzungumzie maeneo kama;-
1. Zanzibar
2. Pemba
3. Mafia
4. Bagamoyo
5. Tanga
6. Mikumi
7. Serengeti
8. Selous
9. Manyara
10. Ngorongoro
E.t.c
Hapa nataka tupeane options na ikiwezekana na gharama zake japo kwa makadilio tu, na ikiwezekana, travel agent wa kuwaona, mabasi gani ya kupanda na hotel gani za kufikia.
Hii iwe kama USHAURI WA SAFARI ZA NDANI
Hapa tuzungumzie maeneo kama;-
1. Zanzibar
2. Pemba
3. Mafia
4. Bagamoyo
5. Tanga
6. Mikumi
7. Serengeti
8. Selous
9. Manyara
10. Ngorongoro
E.t.c