gfsonwin,nitasema machache kwa kuwa MOD amekwaza sana.
'
Faham kuwa aina na lengo la swali halikua kulinganisha maisha ya duniani na huko tulikokua kabla ya kuzaliwa,hivyo lugha za "inategemea huko huko kukoje" ni za kimakosa.
'
Msingi wa swali langu ni kuwafanya watu(sio mimi)wajiulize kuhusu maisha wanaoishi hapa duniani.
'
Sikumpinga
sun wu kama wewe unavyodhani,nilichokifanya ni kumuuliza swali ambalo litanifanya mimi na yoyte atakaesoma uzi huu kujua kama @su wu ana sababu za kutosha kusema vile.
'
Uliposema "mtu akiwaza KAMA MTOA MADA" hii ni kauli yenye maana mbili
'
Moja,mtoa mada ndio mawazo yake.
Mbili,mtoa mada kawakilisa wanaowaza hivyo.
'
Nilipokuambia "wrong" nilitaka kujua ulikua na maana gani kati ya hizo mbili..
'
Lakini ulipodhani nampinga
sun wu na uliponiuliza "what drove you to ask such question" nikagundua ulikua na maana ya kwanza.
'
Na hili ni tatizo hapa JF,watu hawaiangalii mada inafundisha nini,wanadhani mtoa mada ndilo tatizo lake,zipo mada za aina hii lakini sio zote.
'
Pia nilipomuuliza
sun wu sikutaka ajibu kama ninavyotaka mimi,sababu ya kumjibu hivyo nimekuambia hapo juu na kwa nyongeza ni kuwa ili mjadala uwe mzuri kunatakiwa kuwe na pande mbili.
'
Kwa hayo machache nadhani utakua umenielewa!