sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
utajua tu.....lol!!
Kama hivyo unamuwaza mara nyingi...asipokutext unajistress kwanini hajakutext..ukimuona moyo unashtuka na kuenda mbio zaidi ya Tevez...ukimkumbuka unatabasam tuuuu...unakuwa concerned sana na ishu zake...vitu kama hivyo!
kijiti ndo nini?kijiti hakitulii
kijiti ndo nini?
kijiti hakitulii
Mbaya unapohangaika hivi afu ukijaribu kumwambia anakupotezea au anaona miyeyusho tu waweza jinyonga
pole ila sometimes inatokea hasa kwa wadada huwa ni shida sana maana unapigana na ile dhana ya kwamba huwezi mwambia mwanamme unamfeel atakuona hujatulia.
Na mara nyingi ni kweli ukimwambia anakuona hutatulia hapo ndo waweza kunywa sumu.
kijiti ndo nini?
Kama hujui jibu la swali lako then YOU ARE IN LOVEjamani utajuaje kuwa u love someone au u just like someone