Utajuaje upo Afrika?

Utajuaje upo Afrika?

I)Mzazi anazaa ili aje kusaidiwa uzeeni na mtoto
ii)"Amejiteka mwenyewe".
iii)ujanja ni kuwa na simu ya gharama Kama Iphone.

Ongezea
😂😂😂 Kuna vituko na vijamboa Africa
Lakini siyo Africa yote wako baadhi ya watu waliopoga hatua Sema ndo Ivo ubinafsi na utabaka unaturudisha nyuma sana
 
Back
Top Bottom