hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,119
Uongomara unapokubali na kujiunga na roho hizi unakuwa mteja wa maisha na maroho yote ya kichawi yatakupiga wewe, ndugu zako watakuloga utaugua wewe, kila roho na uchafu utakaotupiwa utakupiga wewe maana umezikubali hizi roho, kuna jamaa alikuja kukaa home alikua anatueleza anaona mambo ya ajabu usiku, mara anaona watu wanafanya vikao, anasikia watu wanafagia, akipita baadhi ya njia anasema zimewekwa mitego anaishi maisha ya ajabu sana, mother ndio alikuja kuniambia kwamba hawa ndio imani walioichagua ndio maana inawatesa, binafsi tangu nakuwa sijawai fikilia nimelogwa wala ndugu yangu wa karibu amelogwa lakini wanaoamini mambo haya uchawi unawamaliza mpaka wanashangaa maana wamekubaliana na hizi vitu