jerry hudson
Member
- Feb 23, 2014
- 32
- 3
Nimesoma majibu yenu wote nashukuruni sana ila ukweli tuliishi vizuri na sio kwamba Nilikua nategea ili nilipiwe hiyo nauli ...kuna vitu vingine bhana huwa vina muafect mtu kisaikolojia kweli iliniuma maana kila mtu aligeuka kutuangalia aliposema KATA mmoja.....
Mmmh ila sijui kwanini huu uzi umenichekesha,,,lol!
Dah hayo ni yakwako aisee kumbe wapo wengiWe ulitegemea kuserereka ukskuta mshkaji grease ajaweka ukabuma... Nd roho isingekuuma kama ukutegemea kulipiwa....acha kutuchora eroo
Hv shule hazimefungwa? Haya ndo matatzo yake...Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
Hv shule zimefungwa? Haya ndo matatzo yake...Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
Hv shule zimefungwa? Haya ndo matatzo yake...
Au nawewe ni kama yeye?We vipi? hakuna cha huruma wala nn? HANA BAJETI YAKO!!!!! Je ikitokea anakutana na marafiki kwa mwezi kwa scenario kama yako ndo awalipie wote? .......:rapture:
Maisha ya mjini ni bajeti ndugu! Alishapiga mahesabu yake vizuri sana kabla ya kuondoka nyumbani na hakujua atakutana na wewe. Usimwelewe vibaya, maisha ya mjini hata wewe unayafahamu sana.Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
nashukuru ndugu yangu nimekuelewa sanaMaisha ya mjini ni bajeti ndugu! Alishapiga mahesabu yake vizuri sana kabla ya kuondoka nyumbani na hakujua atakutana na wewe. Usimwelewe vibaya, maisha ya mjini hata wewe unayafahamu sana.
Mjini bajeti bana.
Nimesoma majibu yenu wote nashukuruni sana ila ukweli tuliishi vizuri na sio kwamba Nilikua nategea ili nilipiwe hiyo nauli ...kuna vitu vingine bhana huwa vina muafect mtu kisaikolojia kweli iliniuma maana kila mtu aligeuka kutuangalia aliposema KATA mmoja.....
Au nawewe ni kama yeye?
Huo ni upuuzi mwingine!! Kwani wakati unatoka nyumbani kwako hukuwa na nauli yako? Unajua anapoenda? Vipi kuhusu bajeti? Mulipanga wote? Hebu musilete ujamaa wenu wa kijima, kwa nini wewe hukumwambia asilipe ili ulipe wewe? Au wewe ni kilema uliyestahili kusaidiwa????????
nimeipandaje comment yako.chukua like yangu,kama vile ulikuwa kwenye mind yanguHuo ni upuuzi mwingine!!
Kwani wakati unatoka nyumbani kwako hukuwa na nauli yako? Unajua
anapoenda? Vipi kuhusu bajeti? Mulipanga wote? Hebu musilete ujamaa wenu
wa kijima, kwa nini wewe hukumwambia asilipe ili ulipe wewe? Au wewe ni
kilema uliyestahili kusaidiwa????????