Utajiri 'wa kufuru' wa Elon Musk

Utajiri 'wa kufuru' wa Elon Musk

Pamoja na utajiri wote huo, Elon Musk kakataliwa na mwanaye aliyekuwa mvulana na sasa ni mwanamke:-
Screenshot_20260613_170316_ChatGPT.jpg


Kushoto, akiitwa Xavier Alexander Musk, kulia ni muonekano wake wa sasa akiitwa Vivian Jenna Wilson.

Mtoto wa Elon Musk aliyemkataa baba yake alizaliwa kama mwanaume akaitwa Xavier Alexander Musk. Baada ya kufikisha umri wa miaka 18, alibadili jinsia na kuwa mwanamke, akachukua jina la Vivian Jenna Wilson—akitumia ubini wa mama yake, Justine Wilson.
Ili kuhakikisha Elon hamsogelei, Vivian aliwasilisha ombi rasmi mahakamani la kubadili jina na jinsia yake, akitamka wazi kuwa hataki uhusiano wowote au udugu na baba yake wa kibaolojia. Vivian amekataa kabisa utajiri na ukwasi wa Elon Musk, akichagua kuishi maisha huru mbali na fedha hizo.
Kwa sasa, Vivian anaishi maisha ya faragha kama mwanafunzi wa chuo na hajaolewa. Mama yake, Justine, anaunga mkono uamuzi wa mwanae kwa asilimia mia moja na ameeleza kujivunia msimamo wake. Kwa upande wake, Elon Musk ameshtushwa na hatua hiyo, akidai kuwa mwanae "ameuawa na itikadi kali za kisasa" (woke mind virus) na kwamba amempoteza kabisa.
 
Wakati wengine wakizidi kutajirika dunia ndiyo kwanza inazidi kupambana na extreme inequality.
 
Hizo ni asset sio paper money zisikupe shida bila kuendelea kuhenyeka na kuwekeza zaidi + kulipa bill na mishahara zinapukutika kwa haraka sana hata mwaka haufiki anatembeza bakuli
 
Hizo ni asset sio paper money zisikupe shida bila kuendelea kuhenyeka na kuwekeza zaidi + kulipa bill na mishahara zinapukutika kwa haraka sana hata mwaka haufiki anatembeza bakuli
Mkuu? Atembeze bakuli
 
Nenda kasome uzi wa floyd mayweather utapata kitu
My weather unamlinganisha na Elon Musk mzee? Kubwa serious chief. Kwa ufupi ili utajiri wako uwe wa kuaminika na kuwa monitored ni lazima kampuni yako iwe registered kwenye makampuni ya hisa na uwekezaji uwe public.
 
My weather unamlinganisha na Elon Musk mzee? Kubwa serious chief. Kwa ufupi ili utajiri wako uwe wa kuaminika na kuwa monitored ni lazima kampuni yako iwe registered kwenye makampuni ya hisa na uwekezaji uwe public.
Ninachosema pesa inahitaji kuzunguushwa bila hivyo hupotea kwa haraka sana, sio kweli kuwa asipoendelea kuwekeza na kuizunguusha zaidi atakaa miaka hiyo uliotaja huo ni uongo

Simple math, ni kuwa kuanzia ofisi, wafanyakazi, usafiri na makazi vinatumia billions of money per day kwahiyo asipokaza na kuitega pesa zaidi mzigo wote utapukutika muda mfupi sana
 
Kazi ya maskini ni kusubiri embe lianguke kutoka kwenye Mti wa machungwa.

Pambana kijana, dua za kuku huwa hazisaidii kitu.

sina cha kupambania mkuu,, mimi naishi
halafu nimeongelea linaloweza kutokea wala siyo dua as long as ana stock-based wealth..
acha ulimbukeni.
 
Mmiliki wa makampuni ya teknolojia ya SpaceX na Tesla, Elon Musk, anakaribia kuweka rekodi ya kuwa trilionea ambayo wa kwanza dunia kwa kufikia utajiri wa zaidi ya dola trilioni moja.

Kwa sasa Musk anamiliki hisa zenye thamani ya takribani dola bilioni 273 kupitia kampuni ya Tesla pekee. Lakini ikiwa thamani ya kampuni yake ya SpaceX itaendelea kupanda kama ambavyo wawekezaji wengi wanatarajia, utajiri wake unaweza kuongezeka kwa mamia ya mabilioni ya dola zaidi.

Umiliki wake kwa pamoja Tesla na SpaceX unaweza kufikisha thamani inayozidi dola trilioni 1.1. Hiyo ni sawa na dola bilioni 1,100 au dola milioni milioni 1.1.

Ni kiwango cha utajiri ambacho hakijawahi kufikiwa na mtu yeyote katika historia ya dunia. Lakini dola trilioni moja ni kiasi gani hasa? Huu ni mifano 7 kuonyesha ukubwa wa fedha hizo.

Lakini dola trilioni moja ni kiasi gani hasa?

Dola trilioni moja ni sawa na dola bilioni 1,000, unaweza kuitumia miaka zaidi ya 5,000.

Njia ya pili ya kuelewa kiasi hicho ni kuigawanya kwa watu wote duniani. Kwa sasa idadi ya watu duniani inakadiriwa kufikia takribani bilioni 8.3. Kama Musk ataamua na kugawa dola trilioni 1.1 kwa kila mtu duniani mpaka watoto, basi kila mtu angepata karibu dola 133.

Hiyo ni sawa na takribani shilingi za Tanzania 350,000 kwa kila mtu au karibu shilingi za Kenya 17,000 kwa kila mtu. Kwa familia ya watu watano au 6, mgao huo ungefikia karibu shilingi milioni 2 za Tanzania au karibu shilingi 90,000 za Kenya.

Na kama kila mmoja angeamua kutumia shilingi 100,000 za Tanzania kwa siku, fedha hizo zingemtosha kwa zaidi ya siku tatu mfululizo bila kufanya kazi yoyote.
Trillionaire on paper only (TOPO)! Hakuna uwezekano wa yeye kuibadilisha hiyo trillion kuwa real money. That trillion is just a big bubble, misrepresenting its true worth!
 
Back
Top Bottom