Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

MSHANA UNA FIX SANA UJUE BASI TU NAKUHESHIMU. HAKUNA UTAJIRI WA KICHAWI KAMA ULIVOELEZA MKUU

Wale wenye utajiri ambao unakuta hawana uhuru wa kufanya kitu fulani; mfano kuvaa nguo nzuri, au kuendesha gari nzuri n.k. unadhani inatokana na nini?!
 
Pop of the pop salute
 
Kama mganga anakaa mahabusu kashindwa kujisaidia mwenyewe nini kikufanye umuamini,wengine wakiugua uenda hospital.
 
watu wengi wameongea lakini bado cjaridhika ..nilidhani kwamba nitapata mtu mmoja ambaye ameshawahi kupata hizo Mali kwanjia hizo akiwa anatoa ushuhuda katk huu uzi ...

okay ngoja niendelee kusubiri
 
watu wengi wameongea lakini bado cjaridhika ..nilidhani kwamba nitapata mtu mmoja ambaye ameshawahi kupata hizo Mali kwanjia hizo akiwa anatoa ushuhuda katk huu uzi ...

okay ngoja niendelee kusubiri
Hutopata hata mmoja zaidi watajitokeza waliotapeliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…