Utajiri wa kichawi......

Utajiri wa kichawi......

harakat

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
2,887
Reaction score
1,359
Mwezi uliopita nilitoka Iringa kikazi wakati nipo kule Gest niliyofikia ilikua ni nyumba upande mmoja inaishi familia na sehemu ya pili ni gest.
Nilijaribu kumdodosa yule mhudumu kuhusu fedha za kichawi ninazosikia kwamba kuna mganga ambaye ukifika anafanya dawa na kumuita jogoo kisha anamtupia punje za mahindi na jogoo akila punje chache na wewe utapata fedha ila kwa miaka michache halafu utakufa.
sasa wadau nauliza kuna mtu ambaye anajua mtaalamu mwingine ambaye anaweza fanya mambo ukapata fedha ya fasta ambayo haina masharti magumu kama haya ya kuua ,kufa na mengine ya kafara za mara kwa mara.

NAWASILISHA
 
Mkuu lete info kamili, mhudumu alisemaje kuhusu hilo. Nikikunong'oneza tu; nami nataka kwenda makete naona kariakoo yote imechukuliwa na wakinga, wadada wakali wanachukuliwa na kina Sanga!
 
kaka acha kabisa hii kitu inanivutia nataka nisukume V8 kirahisi naangalia mchakato nilifika mpaka Mafinga huko Dili mbao
ila hii habari ya huyu jogoo wa punje ndio nafikiria nijilipue au
 
Hakuna zaidi ya Mungu hizo zote ni starehe za muda mfupi sana nakushauri kumcha Mungu wako atakusaidia kuliko imani hizo zinatesa vizazi bila kujua mkuu,,,,,
 
kuna nyingine hapa naambiwa na yenyewe ni ya ukweli fully kinaijeria Dah ss hivi natoka kutoka kwa Lara moko

Wale wazee wazee wa nyanda za juu kusini, wazee wa ndumba, wazee wa kudumisha mila ama wazee wa kupulizia katika kusaka mahela wazua jipayaaaaaaaaaa!!!!!!

Baada ya kutoa makafara ya kuzika mtu hai, kumaliza familia, kugawa maisha kwa kuku kudonoa maisha sasa kusettle score utajiri wa kuoza mwili na funza waingia!!!!!!!!!!!!! Na inavosemekana ni science ya Malawi huko, no wonder huko matajiri ni wengi.

Waambiwa huo utajiri wenye mnakaa mke na mume na kujadiliana mmoja wenu akubali kukaa ndani siku 4 na kuoza kama maiti huku akitoa mifunza na funye funye, na Mwenzie either mume ama mke alibakia kumhudumia kwa kuchambua funza mmoja mmoja, ama funye funye mmoja mmoja kwa mkona wake na kisha kuwatia kwenye ungo na kuwamwaga. Funyefunye wale ndo mahela yenyewe, the many they come out of your body the better!!!!!!!! Yaaaakh!!

Huyo mkusanya hao funza hatakiwi kuona kinyaaa ama kusikia uchungu na kujutia kitendo chao cha tamaa. Akisikia simanzi na kudondosha chozi tu mtoa funye ana dead once n for all na deal ndo limeishia hapo. Kinachotakiwa ni kuwa na roho ya kutu, roho ya mchongoma, kukaza moyo SIKU 4 tu! Mkusanye funza za kutosha then BINGO!!!!! Mshatoka kimaisha! (This world is going insane)

Sasa basi kutokana na sharti MUWE MMEOANA, Vijana wengi sanaa matajiri wanaoa kwa kasi sanaaa, na mabinti usione unashobokewa ukajiona keki, ujiandae kutoa FUNZA na FUNYEFUNYE, kuoza na kunuka kwa siku 4 nzimaa thats the price for luxury. And hata akijiozesha yeye you wont be better off kukusanya zile organisims 1 by 1, daily for 4 days! Lord have mercy on you!

Ukiona mtu ana mihela anataka kukuoa fasta fasta think twice! Yamoto moto hio toka Kariakoo kwa ndugu zetu wa nyanda za juu kusini. Chinekeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!! Heeeeeeeeeeeeeiiiiiii!!!!!!!!! ! *Faints! Wakes up and faints again*
 
Jamaa aliyeanzisha Dini ninayoifuata alipoulizwa na tajiri mmoja kuhusu kumcha Mungu, akamwambia akauze vitu vyote awape mapato masikini amfuate. Labda Dini yetu haipendi matajiri ndomaana tunataka kwenda Makete.

Hakuna zaidi ya Mungu hizo zote ni starehe za muda mfupi sana nakushauri kumcha Mungu wako atakusaidia kuliko imani hizo zinatesa vizazi bila kujua mkuu,,,,,
 
kaka acha kabisa hii kitu inanivutia nataka nisukume V8 kirahisi naangalia mchakato nilifika mpaka Mafinga huko Dili mbao
ila hii habari ya huyu jogoo wa punje ndio nafikiria nijilipue au


usihofie kufa, jitoe muhanga tu.
 
Achaneni na mawazo ya kupata utajiri kwa njia za kishirikina. Utajiri wa shetani hauna maana yoyote na hauna baraka za Mungu. Wote wenye utajiri wa kichawi wanaishi kwa mashaka na hofu mioyoni mwao, japo kwa nje utawaona kama wanafaidi maisha. Fanyeni kazi kwa bidii kwa kumtegemea Mungu , mafanikio yatakuja kwa wakati wake.
 
Ukitaka kuamini kwamba kufa kupo,nenda makaburini au mahospitalini kwenye vyumba vya kuhifadhi maiti.
Sasa hizo pesa ambazo huna imani nazo na mwisho ni motoni naumri ulionao na unaambiwa kwamba kila dakika au second mtu anakufa.
Je wewe hapo ulipo hiyo pumzi unayovuta sasa unajua kwamba mapafu yatavuta ya pili,au mfano mdogo pia wewe weka mkono kwenye sehemy a moyo.Jiulize je huu moyo unapiga kila siku tangu nilipokuwa tumboni bila kupumzika,na ukisamam tu ndio mwisho wangu.Je unajua kama pigo linalofuata ndio la mwisho?
Na pia utaulizwa juu ya kila ulichokipata duniani.
Maana kuna watu nasikia hadi wamezini na mama zao na dada zao kwa jili ya laana hii.
Mwisho wake ni mbaya sana
 
ukifikiria hivi mkuu utakufa maskini na kama ndio hivyo basi watu wasingejiwekea hazina duniani wangeamini habari za mbinguni tu ila sijawahi kusikia mbinguni kuna hazina nasikia tu hazina ya serikali kwa hiyo mm makete moja na lazima nisukume V8

Ukitaka kuamini kwamba kufa kupo,nenda makaburini au mahospitalini kwenye vyumba vya kuhifadhi maiti.
Sasa hizo pesa ambazo huna imani nazo na mwisho ni motoni naumri ulionao na unaambiwa kwamba kila dakika au second mtu anakufa.
Je wewe hapo ulipo hiyo pumzi unayovuta sasa unajua kwamba mapafu yatavuta ya pili,au mfano mdogo pia wewe weka mkono kwenye sehemy a moyo.Jiulize je huu moyo unapiga kila siku tangu nilipokuwa tumboni bila kupumzika,na ukisamam tu ndio mwisho wangu.Je unajua kama pigo linalofuata ndio la mwisho?
Na pia utaulizwa juu ya kila ulichokipata duniani.
Maana kuna watu nasikia hadi wamezini na mama zao na dada zao kwa jili ya laana hii.
Mwisho wake ni mbaya sana
 
Mmmmh! Mungu wewe unajua kua mimi si mkamilifu, unitende sawa sawa na mapenzi yako, kwa maana ulinijua tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu....
 
MGANGA.jpg

MGANGA.jpg
 
Kwa hali ya maisha inavyoenda kuwa mkinga kuna husika kwangu kabsaaaaaaa
 
jamani aliyefika huko atupe ushuhuda watu tutinge tukalambe mahela fasta uanfanya utani na fweza ww
 
Tusishabikie mali na fahari za ulimwengu kwani mwisho wake ni uharibifu. Mche Muumba wako naye atakukirimia kila kitu kulingana na uhitaji wako, fanya kazi kwa moyo na mwombe Muumba wako utafanikiwa
 
2B1, Ask1.

Freemasons do not recruit.

If you are interested in becoming a Freemason, approach a Freemason and ask him to join.

If you do not know a Freemason, but see them enter the local lodge, approach them and ask.

Alternatively, you can reach out to the Grand Lodge of your state or province. They will then put you in contact with a local lodge.
 
kama kuna mtu anataka anipm tugawane utajiri wa miaka 20 tuu
 
Achaneni na mawazo ya kupata utajiri kwa njia za kishirikina. Utajiri wa shetani hauna maana yoyote na hauna baraka za Mungu. Wote wenye utajiri wa kichawi wanaishi kwa mashaka na hofu mioyoni mwao, japo kwa nje utawaona kama wanafaidi maisha. Fanyeni kazi kwa bidii kwa kumtegemea Mungu , mafanikio yatakuja kwa wakati wake.

Umemaliza Kila Kitu na Nakubaliana na Wewe! Mungu ndiyo Kila Kitu huko kwingine Tunajisumbua na Kupoteza Muda.
 
Back
Top Bottom