Utajiri unaotolewa na Mwakipande

Billionaire club ni hatari sana mtu anaota funza kichwani daahh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaah kuna siku natoka zangu disco alfajir pale mafinga tunarudi town tulipanda coaster kuna mzee ilipofika zamu yake kulipa kijiti kikadondoka kikageuka ka binaadamu kadogodogo kana bonge la afro na kamevaa pensi ya zambarau na kananuka hatari, kisha akaanza kuweweseka abiria fumbeni macho kum***zake...
 
Hiyo nimewahi kuiskia hata njombe
 
Kumbe widambe naye ana mizizi??
 
yeye je
 
Nini kiliendelea baadae?
Funguka mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…