Maneno ya Mungu yanasema hivi: Ni rahisi kwa ngamia (sio mnyama) kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuurithi ufalme wa Mungu.
Warithi wa ufalme wa Mungu ni akina nani? Wana sifa na vigezo gani? Ni wanyofu na wasafi wa moyo, watenda haki waliojitenga na dhambi na matendo yote ya giza, wasiodhulumu wala kupora cha mhitaji.
Ili uweze kuwa tajiri ama ili uweze kuupata utajiri kwa kiasi kikubwa itabidi ujitenge na matendo ya unyoofu, huruma, utu, wema na ushikamane na ulimwengu wa giza, makafara, dhuluma na ni lazima uwe na roho ngumu na katili japo kwa kificho.
Itabidi utafute njia za kupata bidhaa kwa bei rahisi sana alafu uuze kwa faida kubwa.
Itabidi uwe mkwepa kodi na mdanganyifu kwenye mapato kwa nia ya kutunisha kibubu chako.
Itabidi ununue hata kuuza mali za wizi, dhuluma ama magendo ili tu usitetereke kiuchumi.
Itabidi waajiriwa wako uwalipe kidogo lakini wazalishe kingi.
Itabidi ufanye makafara na ushirikina kwa nia ya kulinda utajiri na himaya yako.
Itabidi utumie mbinu zote halali na haramu ili kuendeleza kukuza na kutunisha akaunti zako na biashara zako.
Ukishafanikiwa kimaisha na kuwa mfanyabiashara tajiri kwa viwango tofauti, kiunafiki kabisa na kuficha makucha yako, utairudia jamii kwa kutoa sadaka, misaada na zaka kwenye nyumba za ibada na majukwaa ya kijamii.
Hutafanya kwa siri kwakuwa unataka usafishike mbele za macho ya jamii, lakini kile unachotoa ni sehemu ndogo kabisa kwenye kile ulichowaibia wale unaowapa kwa mlango wa msaada.
Yote juu ya yote tunauhitaji utajiri kwa nguvu zetu zote ili kukidhi mahitaji ya matamanio ya kimwili na starehe za dunia, sifa na utukufu wa kununua.
Lakini asikudanganye mtu hakuna utajiri wa haki hata siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ya Mungu yanasema hivi: Ni rahisi kwa ngamia (sio mnyama) kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuurithi ufalme wa Mungu.
Warithi wa ufalme wa Mungu ni akina nani? Wana sifa na vigezo gani? Ni wanyofu na wasafi wa moyo, watenda haki waliojitenga na dhambi na matendo yote ya giza, wasiodhulumu wala kupora cha mhitaji.
Ili uweze kuwa tajiri ama ili uweze kuupata utajiri kwa kiasi kikubwa itabidi ujitenge na matendo ya unyoofu, huruma, utu, wema na ushikamane na ulimwengu wa giza, makafara, dhuluma na ni lazima uwe na roho ngumu na katili japo kwa kificho.
Itabidi utafute njia za kupata bidhaa kwa bei rahisi sana alafu uuze kwa faida kubwa.
Itabidi uwe mkwepa kodi na mdanganyifu kwenye mapato kwa nia ya kutunisha kibubu chako.
Itabidi ununue hata kuuza mali za wizi, dhuluma ama magendo ili tu usitetereke kiuchumi.
Itabidi waajiriwa wako uwalipe kidogo lakini wazalishe kingi.
Itabidi ufanye makafara na ushirikina kwa nia ya kulinda utajiri na himaya yako.
Itabidi utumie mbinu zote halali na haramu ili kuendeleza kukuza na kutunisha akaunti zako na biashara zako.
Ukishafanikiwa kimaisha na kuwa mfanyabiashara tajiri kwa viwango tofauti, kiunafiki kabisa na kuficha makucha yako, utairudia jamii kwa kutoa sadaka, misaada na zaka kwenye nyumba za ibada na majukwaa ya kijamii.
Hutafanya kwa siri kwakuwa unataka usafishike mbele za macho ya jamii, lakini kile unachotoa ni sehemu ndogo kabisa kwenye kile ulichowaibia wale unaowapa kwa mlango wa msaada.
Yote juu ya yote tunauhitaji utajiri kwa nguvu zetu zote ili kukidhi mahitaji ya matamanio ya kimwili na starehe za dunia, sifa na utukufu wa kununua.
Lakini asikudanganye mtu hakuna utajiri wa haki hata siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini mkuu hivi unajua kwamba MUNGU hayawahi kutembea na mtu maskini zaidi ya Lazaro ? woooote aliotembeanao kama Ibrahimu, Ayubu, Suleimani, Daudi na wengine wote walikuwa ni watu wanaojiweza na matajiri sana katika kipindi walichokuwa wanaishi ?Maneno ya Mungu yanasema hivi: Ni rahisi kwa ngamia (sio mnyama) kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuurithi ufalme wa Mungu.
Warithi wa ufalme wa Mungu ni akina nani? Wana sifa na vigezo gani? Ni wanyofu na wasafi wa moyo, watenda haki waliojitenga na dhambi na matendo yote ya giza, wasiodhulumu wala kupora cha mhitaji.
Ili uweze kuwa tajiri ama ili uweze kuupata utajiri kwa kiasi kikubwa itabidi ujitenge na matendo ya unyoofu, huruma, utu, wema na ushikamane na ulimwengu wa giza, makafara, dhuluma na ni lazima uwe na roho ngumu na katili japo kwa kificho.
Itabidi utafute njia za kupata bidhaa kwa bei rahisi sana alafu uuze kwa faida kubwa.
Itabidi uwe mkwepa kodi na mdanganyifu kwenye mapato kwa nia ya kutunisha kibubu chako.
Itabidi ununue hata kuuza mali za wizi, dhuluma ama magendo ili tu usitetereke kiuchumi.
Itabidi waajiriwa wako uwalipe kidogo lakini wazalishe kingi.
Itabidi ufanye makafara na ushirikina kwa nia ya kulinda utajiri na himaya yako.
Itabidi utumie mbinu zote halali na haramu ili kuendeleza kukuza na kutunisha akaunti zako na biashara zako.
Ukishafanikiwa kimaisha na kuwa mfanyabiashara tajiri kwa viwango tofauti, kiunafiki kabisa na kuficha makucha yako, utairudia jamii kwa kutoa sadaka, misaada na zaka kwenye nyumba za ibada na majukwaa ya kijamii.
Hutafanya kwa siri kwakuwa unataka usafishike mbele za macho ya jamii, lakini kile unachotoa ni sehemu ndogo kabisa kwenye kile ulichowaibia wale unaowapa kwa mlango wa msaada.
Yote juu ya yote tunauhitaji utajiri kwa nguvu zetu zote ili kukidhi mahitaji ya matamanio ya kimwili na starehe za dunia, sifa na utukufu wa kununua.
Lakini asikudanganye mtu hakuna utajiri wa haki hata siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzeee hiki alichokizungumza ndio uhalisia wa utajili leo kwa Mo na degree yako anakulipa laki nne kama hutaki anakwambia nenda je ukitazama mshahara anaolipa wafanya kazi wake na Mali wanazo mzalishia kuna gap kubwa sana......Ukimuona MTU tajiri Leo. Ujue utajiri hajaupata kwa week moja izo ulizoandika ni fikra potofu kweli kuhusu utajuri.. Hivyo basi ni nini fikra sahihi kuhusu utajiri?
Umenena ukweli kabisa. Masikini hata makanisani wanaenda kusengenya watuUmaskini ni mbaya, maskini hawataenda popote sio mbinguni wala peponi. Kwanza wana wivu, wanafiki, kazi kukaa kuwazungumzia matajiri, wavivu, walalamishi, hawafikirii nje ya box, waongo, matapeli, hawawasaidii wenzao, wanatamani kila mtu awe kama wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwenye umasikini kuna utu wema, roho nzuri, huruma? Uvivu je?Upo sahihi utajiri wowote kazima uwe na dhuruma ndani yake, katili au roho ngumu. ADVENTURE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzeee hiki alichokizungumza ndio uhalisia wa utajili leo kwa Mo na degree yako anakulipa laki nne kama hutaki anakwambia nenda je ukitazama mshahara anaolipa wafanya kazi wake na Mali wanazo mzalishia kuna gap kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena Lazaro alikutana naye mbinguni.Mzeee hiki alichokizungumza ndio uhalisia wa utajili leo kwa Mo na degree yako anakulipa laki nne kama hutaki anakwambia nenda je ukitazama mshahara anaolipa wafanya kazi wake na Mali wanazo mzalishia kuna gap kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ugomvi huenda hujaelewa kiswahili cha mtaaniHeee kumbe ugomvi? Basi mm siko kwa ugomvi!..jichane mwenyewe!
Yes! km hajakuelewa hapa ni mgonjwa wa akili. Mungu hana maagano na maskini.Umaskini ni mbaya, maskini hawataenda popote sio mbinguni wala peponi. Kwanza wana wivu, wanafiki, kazi kukaa kuwazungumzia matajiri, wavivu, walalamishi, hawafikirii nje ya box, waongo, matapeli, hawawasaidii wenzao, wanatamani kila mtu awe kama wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa mfano wa tajiri wa jamaa zako na wazazi wako ndio relevant example. Hao tunaosoma habari zao unauhakika gani walikua fair in every aspect Wakati hukuwaona ?Acha mawazo mgando wewe nani kakwambja kuwa utajari lazima uwe mwizi au uzulumaji
Ukipiga kazi mchana na usiku lazima ela zije zenyewe zikikufuata
Maandiko yenyewe yanasema mkono wenye bidii uta tajirishwa
Umaskink ni utumwa na manyanyaso unakula mlo mmoja Afu useme umaskini raha
Kuwa tajiri bila kufanya wizi inawezekana
Mfano mzuri ibrahimu baba wa imani
Daudi, Jacob isaka na wengine wengi tu
Ondoa ayo mawazo ya umaskini wewe