samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Nimetafiti juu ya hawa jamaa,nikajiuliza maswali mengi sana hawajamaa wanapokuwa depo hupewa na mafunzo ya ufugaji wa BATA, Maana kila unapopita katika kambi zao kila askari anakabwawa na mibata! JE Wewe umewahi kuona?