Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,930
Hakuna economic measures ambazo zinawekwa kumsaida mtanzania kupata kipato kibachoweza kumsaidia kupata mlo kamili.
Mikakati iliyopo ni kusaidia vijana watengeneza maudhui mitandaoni kuwa ndio sera kuu kuikoa CCM ipendwe.
Wabeba Zege, wakulima wa Pamba? walima vitunguu
huko vijijini?
Leo hii kila kona iwe mjini hata vijijini watu wanashinddia Chapati na maharage kuanzia asubuhi. Maana bei ya nyama imefika sh 12000 na nchele ths 3500 nani atamudu?
CCM imefeli vibaya sana chini ya rais Samia.
Mikakati iliyopo ni kusaidia vijana watengeneza maudhui mitandaoni kuwa ndio sera kuu kuikoa CCM ipendwe.
Wabeba Zege, wakulima wa Pamba? walima vitunguu
huko vijijini?
Leo hii kila kona iwe mjini hata vijijini watu wanashinddia Chapati na maharage kuanzia asubuhi. Maana bei ya nyama imefika sh 12000 na nchele ths 3500 nani atamudu?
CCM imefeli vibaya sana chini ya rais Samia.