Utafiti unaendelea

150k hapo 50k ipo kushoto ni theluthi tu ndio inasonga front, na hiyo 500k haijawahi kueleweka wapi inaenda.
 
Niliposoma hiyo para ya kwanza nikataka kujiuliza mkuu upo single nini.

Nime experience ugumu wa kuwa muwazi kwenye issue ya income ndani ya ndoa.
 
Unakwama wapi mkuu kwani bado hujajua kuwa pesa ndo bwana pekee anae weza kudumu na kila demu.
Naelewa mkuu bila pesa utaishia kuwaita shemeji tu na wanakuambia shemeji asiye na pesa ni rafiki wa dada tu sio shem [emoji38]
 
Naelewa mkuu bila pesa utaishia kuwaita shemeji tu na wanakuambia shemeji asiye na pesa ni rafiki wa dada tu sio shem [emoji38]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndo hvo wanamaanisha ukiwa shem na una pesa hata wewe unaweza pindua serikali mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…