Utafiti umeonyesha kwamba kumbe.......

CELLULAIRE

Member
Joined
Mar 16, 2016
Posts
76
Reaction score
97
Kwa Mwanaume yoyote ambaye atakuwa anapendelea kuvaa nguo ya ndani ( chupi ) ya mpenzi wake au mkewe mara kwa mara atakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya ngono kwakuwa wanasema kuwa hata iweje chupi ya Mwanamke hata ikifuliwa na sabuni gani na iwe safi vipi lakini bado huacha madini fulani pale chupini ambayo endapo Mwanaume ataivaa basi huamsha hisia zake za kimapenzi na kujikuta akifanya mapenzi sana na kumridhisha Mwanamke yoyote atakayekutana nae.

ILA

Kwa Mwanamke ambaye atakuwa anapendelea mno kuvaa nguo ya ndani ( chupi ) kabisa ya Mwanaume wake au mpenzi wake basi atakuwa na uwezo mkubwa sana wa kubeba ujauzito kwakuwa joto kali lipatikanalo katika mapumbu ya Wanaume huzalisha mno hormones zinazoweza kuyashutua mayai ya uzazi.

Kazi kwenu!
 
Hii inanikumbusha David Beckham alikiri anavaa chupi ya mke wake
 
Du! Teh! Umeufanyanyia wapi huu utafiti wako?
 
Huu muda uliupoteza kuwaza na kuandika huu Uzi ungeutumia for constructive issue ingekusaidia saana braza
 
Kuna thread ipo humu inasema vijana wanawaza sana ngono kuliko maendeleo yao
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahah!!!!
 
Nani kakwambia kuwa pumbu zinajoto kali ?
 
Hizi ndio kama zile stori za kijiweni jamaa anajishangaa siku nzima sijui anasimamisha kumbe kageuza boxer
 
Sijui tumlaumu nani kwa elimu za namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…